Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mashabiki hawalijui hilo wao furaha yao chama karudi. Halafu kaka mpira wetu usajili wanafanya viongozi na si makocha.Kuna maswali mengi sana watu wanajiuliza mimi nikiwemo mmoja wapo kurejea kwa Chama SSC ndani ya mda mfupi;
-Je SSC wapo sahihi kumrejesha kikosini?
- Je, Chama atakuwa bora kama kipindi kile?
- Kwa nini amerejea ndani ya kipindi kifupi?
- Huko alipoenda alikuwa hapati namba?
- Je, kiwango kimeshuka?
- SSC imeshindwa kabisa kupata mbadala wake?
Kuna maswali mengi sana hapa[emoji848][emoji848]
- Chama amerejeshwa kwa sababu kocha ana muhitaji au kwa sababu mashabiki wanamuhitaji??
- Iwapo Chama atashindwa kurejea kwenye ubora wake benchi la ufundi wamejipangaje kwa hilo??
View attachment 2080750
waliwaingiza mkenge ionekane chama anagombewaKwanini kila siku Utopolo walikuwa wanatamba kumsajili? Ukishalijua hili maswali yote ya mleta mada yanajijibu yenyewe
Mpira wetu ndio upo hivyo.duh kwa hiyo kocha yeye analetewa tu
Kwaiyo chama ndo aliondoka na ubora wa simba kwa akili zako, alikuwa anacheza peke yake uwanjani sioSimba inarudi kwenye ubora wake .
Period !!!
Jamani wana yanga mnateseka sana ,mbona hamtulii kabisa ?Kwaiyo chama ndo aliondoka na ubora wa simba kwa akili zako, alikuwa anacheza peke yake uwanjani sio
Sioni cha ajabu apo mlimuuza na nyie ndio mmemrudishaJamani wana yanga mnateseka sana ,mbona hamtulii kabisa ?
mliosema hayawi hayawi sasa yamekuwa Chama ni mchezaji mzuri sana hivyo kurudi kwake Simba itazidi kuwa bora
Sioni cha ajabu apo mlimuuza na nyie ndio mmemrudisha
Cc MakamboTalaka Rejea
Mwiko Ulivyochomolewa na Azam ndo tatizo lilipoanzia[emoji28]Jamani wana yanga mnateseka sana ,mbona hamtulii kabisa ?
mliosema hayawi hayawi sasa yamekuwa Chama ni mchezaji mzuri sana hivyo kurudi kwake Simba itazidi kuwa bora
Hahahaha noma aiseeMwiko Ulivyochomolewa na Azam ndo tatizo lilipoanzia[emoji28]