Triple C hatar sanaChama jina lake tu linauza msimbazi kama unavyoona tu kurejea kwa Cristiano pale man united,Cristiano akiwepo tu uwanjani kunawafanya timu pinzani kuingia na hofu hata kama asipofanya vizuri wengine watatumia uwepo wake kufanya kitu ndio vivyo hivyo kwa chama
Mpira hauko hivyo!! Sio kama vile mwalimu anakuja kuendeleza topic aliyoishia!!msije shangaa kinachoweza kutokeaAnarudi kuendeleza alaipoishia.
Kuna maswali mengi sana watu wanajiuliza mimi nikiwemo mmoja wapo kurejea kwa Chama SSC ndani ya mda mfupi;
-Je SSC wapo sahihi kumrejesha kikosini?
- Je, Chama atakuwa bora kama kipindi kile?
- Kwa nini amerejea ndani ya kipindi kifupi?
- Huko alipoenda alikuwa hapati namba?
- Je, kiwango kimeshuka?
- SSC imeshindwa kabisa kupata mbadala wake?
- Chama amerejeshwa kwa sababu kocha ana muhitaji au kwa sababu mashabiki wanamuhitaji??
- Iwapo Chama atashindwa kurejea kwenye ubora wake benchi la ufundi wamejipangaje kwa hilo??
Kuna maswali mengi sana hapa[emoji848][emoji848]
View attachment 2080750
wala sio kipuuzi mzee sasa hv Chama pale alipo ana mawazo sana maana wana msimbaz wamemuamin mno na ana jukumu zito sana kifupi ni super star SSCMaswali ya kupuuzi....
Unatafutaje mbadala wake wakati na yeye yupo?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Unajua hofu yangu nini Mfano unaona kinachomkuta Lukaku pale Chelsea sasa hivi hadi anajichanganya kwenye media[emoji848][emoji848]Maswali ya kupuuzi....
Unatafutaje mbadala wake wakati na yeye yupo?
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Mhh lwambo wewe acha kumuombea chama wetu mambo hayo .Unajua hofu yangu nini Mfano unaona kinachomkuta Lukaku pale Chelsea sasa hivi hadi anajichanganya kwenye media[emoji848][emoji848]
Binadamu tabu sana wao kurejea kwa Makambo haikua nongwa ila Chama washaanza maneno 😀😀😀punguza mumkari
Safari hii Wataelewa hata Chama asipocheza akikaa benchi tu Wanasimba tumeridhikaWabongo hawaeleweki kwa kweli
Muda utajibu maswali yote haya .haha hamna mimi simuombei mambo mabaya unajua kila kitu inabid ukiangalie kwa pande zote mbili ila pande ya kwanza inakuwa Positive kwanza
Fatilia kwenye official page ya club aliyotoka ile game ya try 29 December walioshindwa 4-1 alikuwa ni man of the match na alihusika kwenye goli moja.itapendeza zaidi ila mimi hadi nione kwanza maana huko sijamuona akiwa ana cheza
Ni swala muda tu kabla hajaanza kuuwasha moto tena, mechi yao Berkane tarehe 29 alikuwa ni man of the match na akicheza dk 90[emoji23][emoji23][emoji23].Mpira hauko hivyo!! Sio kama vile mwalimu anakuja kuendeleza topic aliyoishia!!msije shangaa kinachoweza kutokea
yawezekanaFatilia kwenye official page ya club aliyotoka ile game ya try 29 December walioshindwa 4-1 alikuwa ni man of the match na alihusika kwenye goli moja.
Me nafikiri kuna sababu nyingine tofauti na hizo za kushuka kiwango, huenda hakuwa anafueahia maisha yake huko Morroco.
Ninaiman ataenda kuchekNi swala muda tu kabla hajaanza kuuwasha moto tena, mechi yao Berkane tarehe 29 alikuwa ni man of the match na akicheza dk 90[emoji23][emoji23][emoji23].
Usibishabe na mimi, nenda kwenye official page ya team ukaangalie.