Vitu vya Tanzania ambavyo wakenya wanasema ni vyao

Vitu vya Tanzania ambavyo wakenya wanasema ni vyao

Nataka link ya mtandao wa Kikenya unaosema Gabo ni Mkenya. Gabo mwenyewe hata Wakenya hatamjui, hatumtambui wala hawezi qualify kuwa celeb huku.
Wewe mbona kama mwehu hivi!!? Wewe picha huioni? Hapo kwenye picha hakuna source?
 
Hahaha !!
Annael hili sio kwakenys pekee kwa sasa
Japo wakenya wanaongoza kwa kufanya ujinga huu!!

Mwaka jana Congo nako wakachukua picha ya mji wa Dar
Wakasema nikwao!!!

de21a5f3b38c43653a53c43071b45d4a.jpg
87722e0273cecc9e5c8365c389d1dab6.jpg


Huwa nashangaa sana
Hivi una anzaje kutangaza kitu cha jirani yako kuwa ni chako!!?

Sijawahi kuona mtanzania kasema kitu/Mtu toka kenya
Ni cha/wa Tanzania!!
Kwanini kenya !!!

Mrisho mpoto Mkenya!!
Vanessa mdee Mkenya!!
Olduvai Kenya!!
Navy Kenzo Wakenya!!
Diamond Mkenya!!
Kilimanjaro Kenya!!
Kigamboni Bridge Kenya!!
Nk
[emoji124] [emoji124]
Labda hawana vya kujivunia. Watakapo mtaja Nyerere kuwa wao, hapo tutawashitaki. Mengine wajitanabaishe nayo tu. Mi Nyerere wangu tu.
 
Huyo mtu mmoja ndio vituu?Mada zingine mimi naona mtu kalewa maharage aliokula jioni ndio maana anaandika utumbo wa kuku.
Wewe unaweza kuchamba sana sio? Umbumbumbu wako usiuoneshe wazi wazi.
 
Wapi? Hayo ni mambo ya huko kwenyu, hata inajulikana dunia mzima. Albino wanawindwa kama wanyama mwitu na takriban 90% ya watu wanaamini ushirikina.
Want u Proof?

Mbona mna waingilia wanyama ki mwili [emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
 
Wewe unaweza kuchamba kidogo sana? Kumwita mwenzio mbumbu we umbumbu wako unaonesha kwa siri?
Kwikwikwikwi. Ona sasa unavyojiaibisha. Nimekugusa kidogo tu nawe umekuja mzima mzima kama mwehu vile!!
 
Wapi? Hayo ni mambo ya huko kwenyu, hata inajulikana dunia mzima. Albino wanawindwa kama wanyama mwitu na takriban 90% ya watu wanaamini ushirikina.
Want u Proof?

Kenya kuna vituko vya kutisha kuliko hata Tz ukisikia tv zao du
 
Kwikwikwikwi. Ona sasa unavyojiaibisha. Nimekugusa kidogo tu nawe umekuja mzima mzima kama mwehu vile!!
Mwehu wewe unae post mada zisizo na kichwa wala miguu.Wakenya wanaiga vitu vingii,taja hivyo vitu vingi ni vipi tuvijue ndio uje kumalizia sasa huyo msanii uliemtaja.Lakini zaidi ya hapo utabaki utumbo tu.
 
Hata alikiba ana raha akiwa KENYA KULIKO tZEE. Yafaa tuongeze maarifa na ujanja ama sivyo kuna siku tutjiita wao
 
Mwehu wewe unae post mada zisizo na kichwa wala miguu.Wakenya wanaiga vitu vingii,taja hivyo vitu vingi ni vipi tuvijue ndio uje kumalizia sasa huyo msanii uliemtaja.Lakini zaidi ya hapo utabaki utumbo tu.


Hata huyo msanii ni uongo mtupu. Hiyo website iliyoandikwa hapo haiexist na hata huyo msanii hajulikani Kenya - mimi nimemsikia mara ya Kwanza leo. Huyu mwenzenu ana kichaa
 
Kenyans has once said that, Magufuli is thier Prime Minister [emoji23][emoji23][emoji23]



Mungu anawaona !
 
Hata huyo msanii ni uongo mtupu. Hiyo website iliyoandikwa hapo haiexist na hata huyo msanii hajulikani Kenya - mimi nimemsikia mara ya Kwanza leo. Huyu mwenzenu ana kichaa
Tatizo wewe nimesema ni upungufu wa uwezo. Nimesema nyie wakenya niweupe kichwani huwezi hata ku browse. Website hii hapa
Topstories.ng
 
Back
Top Bottom