Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

Mkuu ukibahatika tazama movie inaitwa shut em up. Hii jamaa alimzalisha mwanamke wakati mwanamke huyo ana windwa kuuliwa majambazi wamezunguka wakati mapambano yakiendelea jamaa akakosa wembe akaamua kitovu cha mtoto kukikata kwa risasi,

Nyingine alikuwa anakula papuchi majambazi wakavamia alipambana nao huku dushe lipo ndani na mwanamke anaguna tu ana mbadili mitindo mbalimbali hadi maadui wakaisha na yeye akamwaga wachina..

Kuna uongo humo japo inafurahisha
Akavunjwa vidole vyote ila bado akaweza kupiga risasi kwa kutumia karoti

Alaf pale yupo angan na parashut eti akawaua majambaz wote huko angani kafika chini kakuta maiti
 
Mkuu ukibahatika tazama movie inaitwa shut em up. Hii jamaa alimzalisha mwanamke wakati mwanamke huyo ana windwa kuuliwa majambazi wamezunguka wakati mapambano yakiendelea jamaa akakosa wembe akaamua kitovu cha mtoto kukikata kwa risasi,

Nyingine alikuwa anakula papuchi majambazi wakavamia alipambana nao huku dushe lipo ndani na mwanamke anaguna tu ana mbadili mitindo mbalimbali hadi maadui wakaisha na yeye akamwaga wachina..

Kuna uongo humo japo inafurahisha
Hiyo movie niliona kipande kwa mshikaji aisee nilicheka mpaka nilipaliwa[emoji23][emoji23]
 
Ingine ambayo hua inanishangaza utakuta mtu anatafutwa na majambazi, labda ni kwenye jengo kubwa au mitaani. Cha ajabu majambazi watapita pale pale alipopita yeye! Yaani hata jengo liwe na milango 100 na konakona kila mahali lazima majambazi watajua tu alipopita.

Au kama huyo anaetafutwa anatoka damu sehemu, basi atapashika kwa mkono halafu anaenda akipakaza damu ukutani, kwenye milango, kwenye ngazi nk ili wanaomtafuta wasipate shida [emoji3][emoji3]
Daah ,,kwakweli ni shidah[emoji16][emoji16]
 
Na star wa muvi hata awe kijana mdogo mwanafunzi wa chuo, ila lazima ukute anajua kuendesha kila aina ya usafiri kuanzia gari, pikipiki, boti, edikopta, treni.... yaani hata umpe kifaru anagonga gia...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hebu tazama hii uone vituko humo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ni kweli mkuu lakini wangepunguza uongo kidogo. Nyingine ni ile eti unakuta maadui kama 10 wanapigana na Jet Li ila wanaenda mmoja mmoja anawapiga mpaka wanaisha [emoji23] Sasa si wamrukie wote kwa pamoja mbona easy wangeshammaliza [emoji23][emoji23]
Mkuu achana na ngumi za kiswahili za kurukiana, kiuhalisi kama hamna ujuzi wa mapambano mkajifanya kumrukia mtu mwenye ujuzi kwa pamoja mnaweza isha kirahisi sana
 
Nafikiri baadhi ya watu hatujui nini maana ya Sci-Fi (Science Fiction)! Hizo movies mnazosema ni uongo nyingi zinaangukia katika hilo kundi nililotaja hapo juu!

Neno Science wote tunajua maana yake na Fiction ni jambo la kutunga ambalo mara nyingi huwa la kufirika! Sasa mtu ameshakuambia hiki kitu ni Science Fiction wewe bado unataka kiwe na ukweli na uhalisia na ndiyo maana zikaitwa movies jamani hebu tuweni waelewa!
 
Nafikiri baadhi ya watu hatujui nini maana ya Sci-Fi (Science Fiction)! Hizo movies mnazosema ni uongo nyingi zinaangukia katika hilo kundi nililotaja hapo juu!

Neno Science wote tunajua maana yake na Fiction ni jambo la kutunga ambalo mara nyingi huwa la kufirika! Sasa mtu ameshakuambia hiki kitu ni Science Fiction wewe bado unataka kiwe na ukweli na uhalisia na ndiyo maana zikaitwa movies jamani!
Kwaupande mwingine upo sahihi[emoji5]
 
Hahahaha we unashangaa hilo tafuta muvi za Steven siga yule jomba hajawahi kupigwa wala kupata mchubuko wa risasi hata kwa bahati mbaya tu kuanzia muvi inaanza mpaka inaishia
Muvi zake binfsi huwa zinanikera sana, hazina uhalisia hata kidogo. Jamaa hana mvuto wa kucheza muvi labda aende kwenye mieleka.
 
Minimecheka hiyo ya kupigana juu ya train[emoji3][emoji3][emoji3]
Siyo juu ya train, juu ya train inayotembea,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wakati wengine hata kulala tu hawezi labda afungwe na mpira achilia mbali kusimama.
 
Mkuu achana na ngumi za kiswahili za kurukiana, kiuhalisi kama hamna ujuzi wa mapambano mkajifanya kumrukia mtu mwenye ujuzi kwa pamoja mnaweza isha kirahisi sana
Mkuu hata mtu awe na ujuzi wa kupigana kiasi gani, binadamu ni binadamu na uwezo wake una limit. kuna idadi ya raia wakikuvamia kwa pamoja huchomoki. Ila wakija mmoja mmoja kama kwenye muvi ndio unawachakaza. Ndio maana hata wajuzi hua lazima wasome upepo kwanza watu wakishakua wengi cha maana ni kutoka nduki tu 😀
 
Nafikiri baadhi ya watu hatujui nini maana ya Sci-Fi (Science Fiction)! Hizo movies mnazosema ni uongo nyingi zinaangukia katika hilo kundi nililotaja hapo juu!

Neno Science wote tunajua maana yake na Fiction ni jambo la kutunga ambalo mara nyingi huwa la kufirika! Sasa mtu ameshakuambia hiki kitu ni Science Fiction wewe bado unataka kiwe na ukweli na uhalisia na ndiyo maana zikaitwa movies jamani hebu tuweni waelewa!
Tunaelewa maana ya fiction, ila hii haitunyimi kujadili uongo wa wazi kabisa uliopo kwenye hizo fiction movies. Wote tunajua kwamba movie ni uongo ila sasa hata huo uongo unatakiwa ukushawishi sio unaona kabisa hapa hawa jamaa wananionaje kuweka kitu kama hiki? Ndio hapo hasira zetu zinapoanzia. Tunapinga kuonekana maboya 💪
 
Na ikitokea akapata mimba ni siku hiyohiyo tayari tumbo linakua kubwa mtu hawezi kutembea na kiuno kinamuuma. [emoji3]
Na akiwa na mimba hana mamuudi ya kununa nuna kama mama athumani au jamila mititi
Na akiwa na mimba hawatemi mate wala hawatoki machunusi kama yule "juliana"
 
Back
Top Bottom