koln
Member
- Apr 18, 2020
- 26
- 18
Akavunjwa vidole vyote ila bado akaweza kupiga risasi kwa kutumia karotiMkuu ukibahatika tazama movie inaitwa shut em up. Hii jamaa alimzalisha mwanamke wakati mwanamke huyo ana windwa kuuliwa majambazi wamezunguka wakati mapambano yakiendelea jamaa akakosa wembe akaamua kitovu cha mtoto kukikata kwa risasi,
Nyingine alikuwa anakula papuchi majambazi wakavamia alipambana nao huku dushe lipo ndani na mwanamke anaguna tu ana mbadili mitindo mbalimbali hadi maadui wakaisha na yeye akamwaga wachina..
Kuna uongo humo japo inafurahisha
Alaf pale yupo angan na parashut eti akawaua majambaz wote huko angani kafika chini kakuta maiti