Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

Vitu vya uongo tunavyoonyeshwa kwenye muvi za kizungu

.TAARABU INGINE kwenye movie za ni kwamba adui ni lazma awe mgumu sura ngumu au awe na ki group chake cha kufanya mauaji
 
[emoji1787][emoji1787]noma sana

Ingine ambayo hua inanishangaza utakuta mtu anatafutwa na majambazi, labda ni kwenye jengo kubwa au mitaani. Cha ajabu majambazi watapita pale pale alipopita yeye! Yaani hata jengo liwe na milango 100 na konakona kila mahali lazima majambazi watajua tu alipopita.

Au kama huyo anaetafutwa anatoka damu sehemu, basi atapashika kwa mkono halafu anaenda akipakaza damu ukutani, kwenye milango, kwenye ngazi nk ili wanaomtafuta wasipate shida 😀😀
 
Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi za kizugu.

1. Bunduki kutokuisha risasi. Ushawahi ona kwenye muvi mtu ana ki bastola au SMG anamwaga risasi lisaa lizima na haziishi? Uongo mtupu.

2. Watu kupigana juu ya treni huku inatembea! Hiki ni kitu cha hovyo kabisa hata kukiwaza tu. Hata kupigana juu ya treni iliyosimama ni shughuli pevu achilia mbali inayotembea.

3. Bomu la kutegwa kupiga alarm kabla ya kulipuka. Wanajeshi wanaingia kwenye nyumba, hawajui kama kuna bomu. Mara wanasikia mlio pi pi pi pi pipipipipipi...Booom! 😆 saa hiyo wanakua wameshatoka nje.

4. Watu wema kushinda. Katika muvi karibu nyingi, wale watu wema hua wanashinda na watu wabaya wanauawa. Hii haina uhalisia wowote kwenye maisha ya kawaida.

5. Kuwasha gari kwa kuchomoa nyaya chini ya usukani na kuzigusanisha. Japo hii inawezekana, lakini ni ngumu mno kutekelezeka kiuhalisia. Hata fundi mwenye vifaa, inakuchukua muda mrefu sana kufanikisha hili.

6. Maadui kuweka bunduki chini ili wapigane ngumi 😂

Hebu na wewe ongezea vitu vya kijinga ulivyowahi kuona kwenye movie
Njoo kwenye uwanja wa ANNIMATION.

Ni full rahaaa.

#YNWA
 
kwenye hobbs n shaws watu wanapigana kuanzia usiku hadi asubuhi hadi usiku tena!
 
Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi za kizugu.

1. Bunduki kutokuisha risasi. Ushawahi ona kwenye muvi mtu ana ki bastola au SMG anamwaga risasi lisaa lizima na haziishi? Uongo mtupu.

2. Watu kupigana juu ya treni huku inatembea! Hiki ni kitu cha hovyo kabisa hata kukiwaza tu. Hata kupigana juu ya treni iliyosimama ni shughuli pevu achilia mbali inayotembea.

3. Bomu la kutegwa kupiga alarm kabla ya kulipuka. Wanajeshi wanaingia kwenye nyumba, hawajui kama kuna bomu. Mara wanasikia mlio pi pi pi pi pipipipipipi...Booom! [emoji38] saa hiyo wanakua wameshatoka nje.

4. Watu wema kushinda. Katika muvi karibu nyingi, wale watu wema hua wanashinda na watu wabaya wanauawa. Hii haina uhalisia wowote kwenye maisha ya kawaida.

5. Kuwasha gari kwa kuchomoa nyaya chini ya usukani na kuzigusanisha. Japo hii inawezekana, lakini ni ngumu mno kutekelezeka kiuhalisia. Hata fundi mwenye vifaa, inakuchukua muda mrefu sana kufanikisha hili.

6. Maadui kuweka bunduki chini ili wapigane ngumi [emoji23]

Hebu na wewe ongezea vitu vya kijinga ulivyowahi kuona kwenye movie
Hii ya mwisho huwa siielewi kabisa

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Na mini nieleze yangu
1) steering kuingia ikulu ya marekani na kufanikiwa mpaka kukutana na raising chumbani kwake Bila ya kuonekana na sari wote wanaolinda white house
2) stering anafanikiwa kuwauwa maadui wenye bastolla waliomvamia wakati alikua amelala
3) tukijaaliw kwa wahindi ni kuimba nyimbo sokoni halafu watu wote wa sokoni wakacheza tena kwa style moja
4) tukijaaliw Napa bongo, mtoto aliyezaliwa anakua mpaka anafika miaka 18 lakini baba au mama Yuki vile vile
 
Eti adui kashafanikisha vizuri kumnyooshea bastola sterling lakini badala ya kumaliza mchezo ataanza maongezi hapo na tambo mpaka sterling akibetue kibastola chake na amuue halafu unakuta ni jambazi katili lenye matukio ya kutisha
🤣🤣🤣🤣 au anatokea mtu kwa nyuma anampiga gongo la kichwa , kama sivyo unaskia mlio wa risasi paaaaaaah! unajua staring amekufa ivo. mara adui anadondoka taratiiibu huku steringi haamini amini kilichotokea , ndipo anapojitokeza mpenzi wake na kabastola mkononi , wanakumbatiana na denda juu, huku maandishi ya movie kuisha yakiwaziba msione kilinachoendelea. yan hawa sijui wanatuonaje?
 
Kuna ile eti unakuta jamaa kakutana na demu, hata hawajuani. Wanaongea maneno mawili matatu jamaa anaanza kumuangalia demu usoni halafu anamsogezea uso taratibu. Eti demu nae anasogeza mpaka wanakiss. Hii ijaribu mitaani uone utakavyolambwa makofi 🤣
Hii ipo mkuu in real life sema haitokei ovyo na wabongo wengi huiforce..

wakati nitendo linakujaga automaticaly bila wahusika kujielewa mnajikuta tu..
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] au anatokea mtu kwa nyuma anampiga gongo la kichwa , kama sivyo unaskia mlio wa risasi paaaaaaah! unajua staring amekufa ivo. mara adui anadondoka taratiiibu huku steringi haamini amini kilichotokea , ndipo anapojitokeza mpenzi wake na kabastola mkononi , wanakumbatiana na denda juu, huku maandishi ya movie kuisha yakiwaziba msione kilinachoendelea. yan hawa sijui wanatuonaje?
Hahahaaa mkuu huwa nashangaaga majambazi wa aina hiyo yaani anaacha kumuua sterling on the spot anaanza kumuongelesha na kujitamba huu ni uongo kabisaa
 
Eti adui kashafanikisha vizuri kumnyooshea bastola sterling lakini badala ya kumaliza mchezo ataanza maongezi hapo na tambo mpaka sterling akibetue kibastola chake na amuue halafu unakuta ni jambazi katili lenye matukio ya kutisha
🤣🤣😂😅😅
 
Back
Top Bottom