Vituko mitandaoni. Tupia chako
Mbona hamna jagermaster Labella atakunywa nini sasa?😂
Aliyegundua Jägermeister mbingu ataisikia kwenye tivii tu. Pombe ya hovyo kabisa yaani. Ndiyo maana hata Labella haifagilii.

Kapigeni Hennessey ndiyo pombe inayopendwa na pisi kali zenye hela kama nyinyi! 🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️🏃🏿‍♂️
 
Si ajabu huyo mfungwa ni mwenyewe mzabzab😁😁😁

Screenshot_20250108_195434_WhatsApp.jpg
 
Em ngoja kwanza, kwahiyo ulaya wafungwa huwa na simu zao vyumbani?
UK sijui lakini nchi za Scandinavia nasikia ni jambo la kawaida...

Au wakati mwingine simu zinakuwa smuggled in hata kama haziruhusiwi - hasa kama adhabu siyo kali sana. Ma Don wanakuwa nazo tu. Mtu anaendesha Cartel akiwa gerezani japo mawasiliano mengi huwa ni kwa njia ya coded language...
 
Back
Top Bottom