[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sanaKuna kipindi nilitest zali nikafungua Id ya kiume
Nikaweka thread ya kutafuta mchumba
Wallah pm ilifurika,
Kisanga sasa,siku moja nataka nipm na Id ya siku zote sijui ikawaje nikajikuta nimecomment na ile ya kiume...
Nilivyolog out mpaka leo sikumbuki hata jina la ile Id.
Na Kauli Zake Zile Iv Shule Mlienda Somea Ujinga...??Nimemmiss Faiza sana
Wacha nimtafute Bi Zainabu anielekeze alipo.
Asantee yule ni rafiki yangu mnoooHongera Bi Dada
Huna akili wewe. Kwahiyo ukajifanya me na ukawa unatuchora tu tuliovutiwa na wewe. Umenipa akili. Ntafungua siku ID na mimi nitafute mchumba wa kike [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kipindi nilitest zali nikafungua Id ya kiume
Nikaweka thread ya kutafuta mchumba
Wallah pm ilifurika,
Kisanga sasa,siku moja nataka nipm na Id ya siku zote sijui ikawaje nikajikuta nimecomment na ile ya kiume...
Nilivyolog out mpaka leo sikumbuki hata jina la ile Id.
Bibi alikuaga mtataNimemmiss Faiza sana
Wacha nimtafute Bi Zainabu anielekeze alipo.
Hata me ndio nimelijua leoHahahahahaa.. sijui hili mbona. Daaah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Punguani waheedNa Kauli Zake Zile Iv Shule Mlienda Somea Ujinga...??
Mods watakuungaHuna akili wewe. Kwahiyo ukajifanya me na ukawa unatuchora tu tuliovutiwa na wewe. Umenipa akili. Ntafungua siku ID na mimi nitafute mchumba wa kike [emoji23][emoji23][emoji23]
Yani ananikera hornet hajui tuuJamani hornet hapa deep mawazuuuu na huo umbea unaoninyima atakuchamba naniiii tunakusaidia bana ataanzaje kukuchamba kwahiyo mama mchungaji walivyoenda kutest oil alikulwa
Mwenyewe nilikua naionaMmh kaungwa lini halaf impogo si nilikuwa naiona
Acha Kwanza Akalee Ndoa Yake HukoohhPunguani waheed
Wakitumiana ni sawa wanaweza kujichanga wakampa chakula cheupe [emoji23][emoji23][emoji23]Ili wascreenshot watumiane huko
Hahahaa usifanye hivyo mpenziHuna akili wewe. Kwahiyo ukajifanya me na ukawa unatuchora tu tuliovutiwa na wewe. Umenipa akili. Ntafungua siku ID na mimi nitafute mchumba wa kike [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Punguani waheed
Hapana siyo kweliAcha Kwanza Akalee Ndoa Yake Hukoohh
Mana Akijaga Huku Asila Za Ndoa Yake Analeta Hadi Huku
Mm zaidi nilikua namwangalia huyo anayesema sijui na I'd mbili sijui nilimqote hata thread hajawahi anzisha yaan anataka kiki nitampa kiroho safiYani ananikera hornet hajui tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watampa cheupe au wataanza kumnangaWakitumiana ni sawa wanaweza kujichanga wakampa chakula cheupe [emoji23][emoji23][emoji23]
Sema wallah? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yani kama nakuona ulivyokua unacheka ukiona tunabembeleza ndoa.Hahahaa usifanye hivyo mpenzi
Unapata pm mpaka za ma celebrity wa jf..[emoji23] [emoji23] [emoji23]