Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

JF Vituko vingi sana mfano mdogo tu unaweza kuta hata hapahapa hawa wanaochangia sana Mzigua90 Ambiele Kiviele Shunie kumbe ni mtu mmoja, muhimu we changia kama mimi ukwendre..Mfano tu nimetoa jameni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweny ile ligi ya mambembe na The list,kuna mtu alisema "jf hapaaminiki,unaweza kukuta dada mambembe ndo uyo kaka The list"
 
Kuna mtu humu anaitwa Giresi aliwahi kuja na uzi ana makalio makubwa mpaka anashindwa kutembea!Uzi ukafika page 200+ Moderator wakiwa kwenye zoezi la kuunga multiple ID ile ID ya uzi ikaungwa na mwanaume mmoja star sana humu JF

Bujibuji alimmaindi sana huyo mleta uzi
anaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
 
Hahahaa mabazazi wanatusoma tu hapa

Na wengi wamebadili Id kama siyo wamekufa ama kubanwa sana na majukumu...

Aaah niacheni mie ,nna makaburi yangu yakifukuliwa mtakaa pembeni tu mnagonga viganja...
Am sorry mama mchungaji and money lady
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unaogopa na wewe kufukuliwa lako eeh
 
Hahahaa mabazazi wanatusoma tu hapa

Na wengi wamebadili Id kama siyo wamekufa ama kubanwa sana na majukumu...

Aaah niacheni mie ,nna makaburi yangu yakifukuliwa mtakaa pembeni tu mnagonga viganja...
Am sorry mama mchungaji and money lady
Jomoniiii hornet vibaya hivyo kumnyima mwenzio kitu unacho
 
Back
Top Bottom