Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ban ya maisha au? Mbona hajarudi tena jomoni.Alipigwa Banned Uyo Mtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ban ya maisha au? Mbona hajarudi tena jomoni.Alipigwa Banned Uyo Mtu
Watamludisha Tuuu UyoBan ya maisha au? Mbona hajarudi tena jomoni.
Tuishie Hapa Kuhusu Iyo kitu ShunieAsantee yule ni rafiki yangu mnooo
unabaki unacheka pemebeni yaniHahahahaa..
Basi nisamehe kiki siziwezi dada am sorryUna wazimu wewe kama unatafuta kiki nitakupa
Kwa Akili Za Mzigua90 100% Atakuja Fungua Hiyo Kitu JamanHuna akili wewe. Kwahiyo ukajifanya me na ukawa unatuchora tu tuliovutiwa na wewe. Umenipa akili. Ntafungua siku ID na mimi nitafute mchumba wa kike [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]JF Vituko vingi sana mfano mdogo tu unaweza kuta hata hapahapa hawa wanaochangia sana Mzigua90 Ambiele Kiviele Shunie kumbe ni mtu mmoja, muhimu we changia kama mimi ukwendre..Mfano tu nimetoa jameni
Sitakagi ujinga mkuu tuheshiamiane hamna mtoto humu niheshimu nitakupa heshima yangu mara mbili ukijifanya chizi nitakuwa chizi zaidi yakoBasi nisamehe kiki siziwezi dada am sorry
Yaaani. Nisaidie wakunyumba nikichambwa. Sijui aliniona pm ya bwana ake yarabAkirudi atapambana na wewe [emoji3][emoji3]
Cheusi nilisahau [emoji23][emoji23]Chuepe Tena ....???
Mmmmmhhhhhhh
anaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unaogopa na wewe kufukuliwa lako eehHahahaa mabazazi wanatusoma tu hapa
Na wengi wamebadili Id kama siyo wamekufa ama kubanwa sana na majukumu...
Aaah niacheni mie ,nna makaburi yangu yakifukuliwa mtakaa pembeni tu mnagonga viganja...
Am sorry mama mchungaji and money lady
Kama Mambembe nilijitahidi jamani kumkwepa. [emoji23][emoji23]Dawa ndo hiyo, mtu anaetaka kufosi ligi we unajifanya humuoni,anaumiaaaaaaa heheheh
Vipiii tena macho yameleta tatizoChuepe Tena ....???
Mmmmmhhhhhhh
Hata si hatumjui ila mi nilikua target yakeHivi mambembe ni nani?
Nyie Watu SiwawezCheusi nilisahau [emoji23][emoji23]
Arudi salama. Akirud atakua kapoa sasa atupe story za one night stand tenaWatamludisha Tuuu Uyo
Hakuna Nipo Vzr Kinoma NomaVipiii tena macho yameleta tatizo
Jomoniiii hornet vibaya hivyo kumnyima mwenzio kitu unachoHahahaa mabazazi wanatusoma tu hapa
Na wengi wamebadili Id kama siyo wamekufa ama kubanwa sana na majukumu...
Aaah niacheni mie ,nna makaburi yangu yakifukuliwa mtakaa pembeni tu mnagonga viganja...
Am sorry mama mchungaji and money lady
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unabaki unacheka pemebeni yani