Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Hata najua basi ila anaonekana mzoefu tuHivi mambembe ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata najua basi ila anaonekana mzoefu tuHivi mambembe ni nani?
Tatizo nitasahau siku. Naomba hili pepo lisiniingiee nikafungua ingune bure [emoji23][emoji23]Kwa Akili Za Mzigua90 100% Atakuja Fungua Hiyo Kitu Jaman
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afanyaje matako yasitingishike[emoji23] [emoji23]anaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakumbuka[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweny ile ligi ya mambembe na The list,kuna mtu alisema "jf hapaaminiki,unaweza kukuta dada mambembe ndo uyo kaka The list"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sitii Neno HapaSitakagi ujinga mkuu tuheshiamiane hamna mtoto humu niheshimu nitakupa heshima yangu mara mbili ukijifanya chizi nitakuwa chizi zaidi yako
Wakunyumba mwache tuuSitakagi ujinga mkuu tuheshiamiane hamna mtoto humu niheshimu nitakupa heshima yangu mara mbili ukijifanya chizi nitakuwa chizi zaidi yako
😀😀😀😀😀😀 daah basi atakua alinichota sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kweny ile ligi ya mambembe na The list,kuna mtu alisema "jf hapaaminiki,unaweza kukuta dada mambembe ndo uyo kaka The list"
Sijui ulimkosea nini,maana akiona comment yako nadhan alikua anajaa mpaka kifua kitake kupasuka bure....hahaa ulivo mshenzi sasa unajichekea tuKama Mambembe nilijitahidi jamani kumkwepa. [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na akifungua akiniambia namtangazaKwa Akili Za Mzigua90 100% Atakuja Fungua Hiyo Kitu Jaman
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jolie Jolie Shunieanaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
Akuuu nitakachofanya ni kulog out tu wakunyumba ban nimezichokaYaaani. Nisaidie wakunyumba nikichambwa. Sijui aliniona pm ya bwana ake yarab
Ipo Siku Tuuuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe unaogopa na wewe kufukuliwa lako eeh
hahaha,yaani kwenye hiyo ID yake alijiita giLESI eti ni mwanamke, kwa hiyo katika thread inayofurahisha ni hiyo zaidi na zingine, sasa mods sijui wakawa vipi wakaunga ID zake, sasa hapo ukimfikiria Bujibuji umjuaye, halafu uvute hisia kwamba alijifanya ni mwanamke, alikuwa anawasanifu watu na watu walitiririka kweli. ni uzi wa mwaka nadhani 2013 hahahahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afanyaje matako yasitingishike[emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Cheusi nilisahau [emoji23][emoji23]
Kwa Maandishi Makubwa Kabisa Yani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na akifungua akiniambia namtangaza
Jamani khaaa ikawaje sasaanaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
Hahahhaha kwa nini tenaNyie Watu Siwawez
hahhahahahah, mwite na Miss Natafuta na MBITIYAZA JF maraha kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jolie Jolie Shunie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwahiyo mboga za jamani hazihitajikiHakuna Nipo Vzr Kinoma Noma