Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

anaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afanyaje matako yasitingishike[emoji23] [emoji23]
 
anaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Jolie Jolie Shunie
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] afanyaje matako yasitingishike[emoji23] [emoji23]
hahaha,yaani kwenye hiyo ID yake alijiita giLESI eti ni mwanamke, kwa hiyo katika thread inayofurahisha ni hiyo zaidi na zingine, sasa mods sijui wakawa vipi wakaunga ID zake, sasa hapo ukimfikiria Bujibuji umjuaye, halafu uvute hisia kwamba alijifanya ni mwanamke, alikuwa anawasanifu watu na watu walitiririka kweli. ni uzi wa mwaka nadhani 2013 hahahahaha
 
anaitwa giLESI na uzi wake wa "Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo?" hahahahahah. Ila mods waliounganisha ID za Bujibuji hawakuwa fea kabisa. Maskini mwenyewe kajitahidi kuedit ule uzi lakini sasa shida inakuja kwa wale ambao walikomenti kwa kuquote ile thread kwa hiyo maneno ambayo ameongezea kwa mfano lile neno kwamba eti kaitoa sehemu, linaonekana kaliongezea tena kwa font tofauti, na replies zake amejitahidi kuzifuta lakini bado mambo hayajakaa vizuri. Ahsante mods kwa kufunga ule mjadala hakuna tena ku comment pale zaidi ya ku like tu. hahahahahaha. JF kuna raha sana asikwambie mtu.
Jamani khaaa ikawaje sasa
 
Back
Top Bottom