Vituko ndani ya JamiiForums

Mm zaidi nilikua namwangalia huyo anayesema sijui na I'd mbili sijui nilimqote hata thread hajawahi anzisha yaan anataka kiki nitampa kiroho safi
Achana nae embu tufurahi zetu sisi. Sema Mambembe nae sijui alipotelea wapi jomoni. Nilikua nakaa kwa hamu nasubiria chambo langu maana aliniambia ananisubiri kwa hamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mimi nahisi mods walifanya yao,
Maanake nimelog in naona id hii hapa
Nacomment ikaja ile ya me..

Nilivyolog out sikurudia tena.
Walikuunganisha hao[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahaa mabazazi wanatusoma tu hapa

Na wengi wamebadili Id kama siyo wamekufa ama kubanwa sana na majukumu...

Aaah niacheni mie ,nna makaburi yangu yakifukuliwa mtakaa pembeni tu mnagonga viganja...
Am sorry mama mchungaji and money lady
Mmmmhhh Ebu Yasema Hayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…