Vituko ndani ya JamiiForums

[emoji2][emoji2] asante dada mwenyeji!.. Unajua kipi kilichonisumbua mie mgeni, ile post imewekwa kwenye thread zako badala ya kuwekwa kwenye thread za SHITUGO but no case kumbe yake bana!!..
usikurupuke ten siku ingine[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kuna jamaa alianzishaga uzi" mke wake hataki kugandana gandana anataka gari lake"

Siku si nyingi akaja na mwingine " home kuna gari mbili ila mke anataka ampeleke ofisini na ampitie wakati wa kutoka, asipofanya hivo mke anamaind" sijui wanaona ufahari gani kudanganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…