Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Hahaha acha kabisa yan leo nmecheka hakika[emoji23] [emoji23] nlikua namheshim san[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila yule mzee kanichekesha sana watu wanamuita dada nunua skin tait mzee anajibu asante sana kwa ushauri[emoji23] [emoji23]
usikurupuke ten siku ingine[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35][emoji2][emoji2] asante dada mwenyeji!.. Unajua kipi kilichonisumbua mie mgeni, ile post imewekwa kwenye thread zako badala ya kuwekwa kwenye thread za SHITUGO but no case kumbe yake bana!!..
Upo Charm Deko...!!!Mama Jj a.k.a Bujilebujile
Jf rahaaaa sana
Ila Ww Jolie Jolie Ni Mpambe Balaaaaahhb
Hili Benchi La Ufundi Ni BalaaahNiwekee link mdogo wangu mzuri mzuri si unajua vile nakupenda
Naith Angekuwa Kalibu Yako Makonzi Ya Kichwa YangeusikaMungu hiki ulichoandika umemaanisha nini? Sijapenda kwakweli hata kama ni mawazo yako tu lakini nadhani tuna mipaka
Shunie aliomba link[emoji23] ya nifanyaje matako yasitingishike nitembeapoIla Ww Jolie Jolie Ni Mpambe Balaaaaahhb
nimekurupuka nini? dada mwenyeji?[emoji2]usikurupuke ten siku ingine[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahaha yan hujanfkia mm nmecheka walah
Afu kuna sehem akaja na akaunt yake real na ye anampa ushaur gilesi hahaha nmechekaaaaaa
Kuendelea mbele nakuta mmoja mmoja anaanza kushtuka haha eti,kumbe ni mwanaume dah!!!
Babu asprin nae kumbe alizama pm kwenda kumtongoza gilesi
Aithee Nyie Watu Mnafukua Makabuli DuuuuuhhGilesiii sjui kama alifat huu ushaurView attachment 719401
Huu Uzi Jaman Achen TuuuuView attachment 719418[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ntasutwa mimi jama haha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila member's wa humu uongo walionao sijui hata kama shetani anawahitaji!!!
Kuna mwingine alileta uzi hapa akidai amemaliza masomo yake nchini China mda kurudi nyumbani Tz umefika akadai a nahitaji binti wa kula naye bata hapa bongo!!!
Kurudi kufatilia nyuzi zake za nyuma miezi michache alisema anaishi dar mazense tena alileta kisa cha yeye na mke wake, nikajiuliza huu uongo ni kwa faida ya nani!!!!!!
Cc Mjukuu Wa Chief Kwa Mujib Wa Dada Zangu Wa JfNitajie huyo mwenye ushungi wakwetu nimepitwa lol
Naona Ww Humu Ndio Unachepeo La Kufukua Makabuli [emoji23] [emoji23] [emoji23]Shunie aliomba link[emoji23] ya nifanyaje matako yasitingishike nitembeapo
NAHUJA ndo alileta idea mkuuNaona Ww Humu Ndio Unachepeo La Kufukua Makabuli [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uzuri wa jf yani watu wanakumbuka matukio vizuri,,Sasa unazani Leo (mzee baba) gilesi anajisikiaje anaposoma humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] ila yule mzee kanichekesha sana watu wanamuita dada nunua skin tait mzee anajibu asante sana kwa ushauri[emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]NAHUJA ndo alileta idea mkuu