Alianza kunisifia sijui alikuwa na lengo ganiMambembe ameondoka na The list dadekiiii jf ilikuwa imenogaaa kweli saiv imepoaaaa
HawajaziungaKwa hiyo ukijitambulisha hawawezi kuziunganisha?
Sawa, waliwahi kusema ukiwa na ID kadhaa ukawa unazitumia vizuri hamna tatizoHawajaziunga
Mi sinaga shida na mtu mkuuSawa, waliwahi kusema ukiwa na ID kadhaa ukawa unaziumia vizuri hamna tatizo
AhahaaaHongera dada kwa kuolewa, ila kesho usiseme mke wangu ana ujauzito 😀😀😀😀😀😀
Sitakaa nisahau ile interview[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikuja kwa mbwembwe sana akajitambulisha na picha katupia.
Mimi nilimfuatilia kwenye uzi wake wa utambulisho halafu nikamsoma nikagundua kuwa sio mgeni ila anatuchora, nikamwambia.
Siku zikapita kama miezi hivi ndio akaja kutumbuliwa akiwa kwenye intaviuu ya DJ Sepetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikuwa anakupanga,ukikaa vizuri akuchinjeAlianza kunisifia sijui alikuwa na lengo gani
[emoji3][emoji3]Jf bwana!! Sawa tuu
Kwa kuchora watu tu humu aaaaaaaaaaaaaaaaaaa wengi sana hatujambo mbona ! Ukiingia kingi tu ukashobokea id mpya tu mzeiya umeanikwaaaaaa. This is jf nowadays[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Alikuja kwa mbwembwe sana akajitambulisha na picha katupia.
Mimi nilimfuatilia kwenye uzi wake wa utambulisho halafu nikamsoma nikagundua kuwa sio mgeni ila anatuchora, nikamwambia.
Siku zikapita kama miezi hivi ndio akaja kutumbuliwa akiwa kwenye intaviuu ya DJ Sepetu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
turejeshee avatar Yetu aiseee hii mpka uichunguze sana ndio unagundua kuwa huo ni msambwanda ...""" tunanyimana raha makusudi aiseeeeJiandae mapema mama