Vituko ndani ya JamiiForums

Sitakaa nisahau ile interview[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila dj alisaidia sana team fisi wa humu
 
Kwa kuchora watu tu humu aaaaaaaaaaaaaaaaaaa wengi sana hatujambo mbona ! Ukiingia kingi tu ukashobokea id mpya tu mzeiya umeanikwaaaaaa. This is jf nowadays



Cc Smart911
 
Uzuri wa jf kila mtu ana good life kazi, gari, nyumba+ wife material full fake life like insta..
 
hahaaaa acha masihara basiiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…