Vituko vya mochwari

Vituko vya mochwari

Je wale wanaofanya mapenzi na maiti ??Mshana tuelezee hapo
Kuna wanaotumwa na waganga wa kienyeji
Kuna wengine ni hobbies zao tuu
Kuna wengine ni ubanditu wao tu na kutaka kufanya vitu vya ajabu
Wengine ni visasi na ushetani
 
1490878308381.jpg
 
Cheki huyojamaa anasafirisha maiti kwa pikipiki
 

Attachments

  • 1490878402062.jpg
    1490878402062.jpg
    72.6 KB · Views: 126
Pozi la kulazana kifudi fudi silipendi kabisa,kuumizana tu mbavu! Nikifa mimi nitafutiwe kiti kimoja murua nikae kwa mkao wa kucross miguu kabisa!
mtu akijigonga kwenye kitu utadondoka vibaya sana sema utakuwa husikii
 
Mtu anaeweza kufanya mapenzi na Maiti tena mochwari kabisa muogope na kaa nae mbali ukimjua!

She/he is capable of killing you bila kusitasita wala kuwaza mara mbili[emoji89]
 
Maiti eti Inachanua Miguu kwa hiyo umemaanisha marehem Malaya wa kike kwa hiyo anakuwa na hamu au??? Haaaaa,haaaaa Kaz kweli kweli
 
Pozi la kulazana kifudi fudi silipendi kabisa,kuumizana tu mbavu! Nikifa mimi nitafutiwe kiti kimoja murua nikae kwa mkao wa kucross miguu kabisa!
Kuna mzee mmoja majuu huko alizikwa akiwa amekaa kwenye pikipiki yake aliyokuwa anaipenda aina ya Harley Davidson [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kufanya kazi monchwar inaitaji ujasir sana binasfi nna kakaangu alikuwa anafanya kazi huko
Kila siku alikuwa ananiambia daaaaah ile kazi bila kuvuta mmea uwezi piga
Kuna maiti zinaletwa pale zaajabu
-zingine eti zinaamka zinafanya mazoezi zikimaliza zinakufa tena
-zingine ukiziangalia sana zinaamka zinakuuliza unamuangalia nani zingine zinakukonyeza
-zingine zilikuwa zinamuomba adi simu ziwapigie ndugu zao we acha tu

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sina mbavu haaaa,haaaa umeuaaaa
 
Kuna mzee mmoja majuu huko alizikwa akiwa amekaa kwenye pikipiki yake aliyokuwa anaipenda aina ya Harley Davidson [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Watu wengine tuna mapenzi na vitu ambavyo kuzikwa navyo ni kumjaribu Mungu wakati hajaribiwi!
 
Back
Top Bottom