Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Daaaah
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hahahahaha wewe jamaa ni wa huku huku.

Siyo mazombie yule mzee kashaua wenzake kibao kisa hiyo nafasi, ndiyo maana hata ndani ya chama chake hawampingi
Mbilinga kashindikana yule Mzee..
 
Breaking news : nipo na James Ngomero kilingeni Msata muda si mrefu tutaanza interview...
Mkuu mshana mwambie james ngomero nimepata taarifa zao yeye na imma mchaga, ustadh saleh wamemuibia mzee mbuzi hii juzi x-mas wamemchinja open kila mtu anaona wamepika supu wamekula..mwambie nikipata mda nitawafata mwanyamala moja moja na watamlipa huyo mbuzi...anatumia ile no mwisho 83? Namtafuta daily simpati..mkuu mshana nipigie kwenye ile halotel yangu mwisho 68 nionge nae huyo shetwani wa mwanayamal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…