Kuna dharura imetokea.... Hatukuweza kufanya interview vizuri.. Tumekatisha.. Taarifa za msiba wa mzee concord ndio kanipa yeye na Salum wa Tiger bar pia.. Naondoka kwenda Dar muda huuMkuu mshana mwambie james ngomero nimepata taarifa zao yeye na imma mchaga, ustadh saleh wamemuibia mzee mbuzi hii juzi x-mas wamemchinja open kila mtu anaona wamepika supu wamekula..mwambie nikipata mda nitawafata mwanyamala moja moja na watamlipa huyo mbuzi...anatumia ile no mwisho 83? Namtafuta daily simpati..mkuu mshana nipigie kwenye ile halotel yangu mwisho 68 nionge nae huyo shetwani wa mwanayamal
Sawa mkuu nice way hope umeambulia mawili matatu maana huyo ni JINI awezi kukupa yoteKuna dharura imetokea.... Hatukuweza kufanya interview vizuri.. Tumekatisha.. Taarifa za msiba wa mzee concord ndio kanipa yeye na Salum wa Tiger bar pia.. Naondoka kwenda Dar muda huu
Piga sana gemu kwa wahaya hapo kuna mama MTU mzima alikua Fundi haswa wa mahaba ukikuta room yake imefungwa unazunguka unaweka poz ccm ukisubiri aliomo atoke mkunje mkunjavyo halala miki
Huyu matunge alikuwa mtu mkubwa ee?Hata Dr Matunge wa Matunge herbalist clinic alikuwa Mwananyamala si mbali sana na Mwananyamala hospital
Kile kijiwe kuna akina Bedui, Beka, kuna mzee mmoja anafanana na Mizengo Pinda, mzee Jose, Kobelo sijui, kuna mzee mmoja mpemba ana matusi sana nknimepiga sana drafti mitaa ya manyanya... kina bedui and et al... wezi kwelikweli hahahaha
Huyo mpemba anaitwa mzee supa.Kile kijiwe kuna akina Bedui, Beka, kuna mzee mmoja anafanana na Mizengo Pinda, mzee Jose, Kobelo sijui, kuna mzee mmoja mpemba ana matusi sana nk
Nilinunuaga wanawake wawili uwanja wa fisi kwa bei hiyo mwaka 2013, unataka kuniambia mpaka leo hsijapanda?Ngono inafanywa mchana kweupe maeneo ya uwanja wa fisi, madada poa wanavyumba vyao special kwa huduma hiyo..Wanatoa huduma zote muhimu kwanza condom unapewa bure ukimaliza shughuli unasafishwa vizuri na tissue paper kwa gharama ndogo tu ya kuanzia elfu 2 kwa bao moja., ila kwa usawa huu mgumu wa maisha lazima bei ishuke..
Malizia mwisho ikawajeHapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
Halaf castr we mtoto wa mwananyamala nimekumbuka kipindi nipo mtoto mishikaki ya A jaman imejipanga foleni mishkaki sh 100 [emoji39][emoji39]Kuna mganga alikua anajiita Dr Faru ilikua watu wanapandisha mapepo halafu yanasema tunataka kwenda kwa Dr Faru ndiyo tutatoka.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Daahh nshalishwa nyama ya mbwa mwananyamala nikijua mbuzi
Aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Me nimezaliwa A nimesoma mwananyamala B ile ya mwalimu Ndeka ninachokumbuka Ni mishkaki ile ya mia na kingine hapo minazini kuna nyumba pembeni inauza unga toka nipo mdogo mpaka leo halaf mbele kidogo kama unataka kwenda sokoni kushoto kulikua kuna nyumba imejaa mashoga wakina zungu yaan tukipita tukitoka shule tunawashangaaHebu naomba farusofia uwaambie na wadada wengine wa JF wenyeji wa Mwananyamala wajitokeze kusema neno
Unamkumbuka yule mzee aliyekuwa anauza chipsi A mpaka anakesha sasa hivi marehemu mzee sewando chipsi zake tamuMkuu nahisi soon tutatambuana kwenye huu uzi maana unatoa details precisely, mi nakuacha.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23]Asante sana mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Ndo concord huyo [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mzee mmoja baharia ni noma mkorofi sanaaa ukipanga kwake utakoma mm nilipanga nikakaa wiki moja tu wiki ya pilu alikuw anajisaidia mlangoni kwangu lengo niame tu