Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Hapo kwenye huo uchochoro wa Chidumule ukinyosha, unapokata kona tu kuna saloon ya kike. Maajabu saloon yenyewe inahudumiwa na was.enge.
Kitambo sana hiyo mitaa ila nakumbuka ukinyoosha nyumba ya kwanza kabisa unavyokata kulia alikuwa anaishi mama mmoja mkulya somebody mama Ghati kama sijakosea,alikuwa mkorofi sana akitibuka anatukana matusi mtaa mzima pale.
 
Maelezo yote ya nini hayo, ungeandika neno moja tu, 'Shit hole'; ingetosha.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mtaa wa wibu ni mateja na madawa na si mashoga.
Labda wibu ya sasa lakini kipindi hicho ndio sehemu pekee Dar na pengine Tanzania shoga kumiliki Pub.. Aunt Abuu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ikawa ndani ntiti... Nje ntiti
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ikawa ndani ntiti... Nje ntiti
 
ma kisholi je,nyuma ya daladala camp pale mtaa wa kwanza,anapika kitumbua cha mwisho akiweka kwenye kikaango kuna mteja anasubiri.
vijana wake wote ni vibaka watakatifu
Bonge la fundi yule mama
 
Mshana, huu uzi ni bomba mbaya. Unasaidia kuwafungua baadhi ya watu kuhusu mitaa wanaishi. Kaka tukimaliza mwananyamala usicheleweshe, tuletee na mtaa mingine mkuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tutahamia Manzese midizini Mburahati mpaka Kigogo bila kusahau Mabibo moja... Kuna beach kule
 
Siku moja niko Chaga bite pale Makumbusho nikapigiwa simu nirudi haraka home kuna movie ya bure
Kufika nikaongozwa Kamanyola... Aisee niichokiona... Basi TU... Kuna mhuni alimtongoza house girl wangu halafu wakaenda kamanyola. Sasa eti jamaa akaacha pazia wazi wana wajifaidie pilau halisi
 
vipi kuhusu nzega katika kuwa na majambazi sugu katika nchi;japo wengi walishachukuliwa na watu wasiojulikana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…