kimyama nje
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 361
- 408
Bigwa nae mkubali Jamaa anaitwa mchafu anakopi nyingi mzee wa kutoa mkwaju[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Watu wa draft wana shombo sana
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] Watu wa draft wana shombo sana
Zoro hahahahahaha jamaa alikuwa anatumia left hand yupo fasta hatar katika kuchota kachumbari pale ulikuwa unapata sambusa,maandazi na chapati mayai bila kusahau bagia na kiepe dah siku zinaenda kasi sanaNani anamkumbuka zoro muuza sambusa?? Kwa babu lakidi?? Nawaseme hotel??
Hahahahahaha umesahau kina msimbe,faza,jaru lashku n.k mm nilikuwa 7a na kina jones,job,yusr bkr,sharifa n.k hahahahahaha hapa jf ni kwikwi aseeeeeh ila goma liendelee tu tutakutana strthalafu we muhenga mwenzangu km unamjua CSTO tulikuwa wote enzi za nzile tuiton ya AL CAEDA mtihani wa la saba tunafanya chini ya ulinzi wa polisi na mtutu
we utakuwa ni wa enzi ya Class ya kina A lijoh F kawle. H sadallah.
J sembja(bonge) J sato kina chozi M kabali dadamkuu ZENA E PANTALEO mtoto wa mwalimu john Octavion tukawa tunamuita babu kutokana na vimvi zake ni wengi ila nimewataja wachache coz tulikuwa ICON tunategemewa sana darasa la A lile lililokuwa mkabala na ofisi za walimu ukiingia tu getini mbele ramani ya afrca na muembe
enzi hizo kabla haijagawanywa kuitwa MINAZINI
mwembechai timu yako ilikuwa ipi KAGERA RANGERA au MESSINA ya mtaa kondoa
kombe la kinesi hiyi
fainaki kagera na messina penart ya mwisho tunaangalia nje ya uzio wa mabati maana lazima ngumi zilike
MAMAANGU mdogo alikuwa anakaa NYUMA ya gholofa kongwe so nilikuwa nakuja sana magomeni weekend kwa brozangu
hicho kidaraja ukishavuka unatokea uuwanja wa rasco ukipandisha juu unatokea kwa ngilangwa au kwa jolijo mnavuka mto ng'ombe noma
kagera rangers..enzi za akina juma baimwembechai timu yako ilikuwa ipi KAGERA RANGERA au MESSINA ya mtaa kondoa
kombe la kinesi hiyi
fainaki kagera na messina penart ya mwisho tunaangalia nje ya uzio wa mabati maana lazima ngumi zilike
MAMAANGU mdogo alikuwa anakaa NYUMA ya gholofa kongwe so nilikuwa nakuja sana magomeni weekend kwa brozangu
hicho kidaraja ukishavuka unatokea uuwanja wa rasco ukipandisha juu unatokea kwa ngilangwa au kwa jolijo mnavuka mto ng'ombe noma
Hahahaha tandale kipande gani mkuu daaaaaahNaitwa mjushi naishi tandale..njoo jukwaa la tv kule tufanye kazi acha mbinu zako za mwijuma ktk makorokoro ulikuwa unakula mabumunda shunie hatari
Mkuu nimeku PM fanya ujeHahahaha tandale kipande gani mkuu daaaaaah
Bila kumsahau mtuma salamu maarufu na mshiriki wa kipindi cha chemsha bongo...Mohamed Kiyaiyai..mzee wa niambrieeeee...kutoka KomaKoma .
Huyu alikuwa anazinguana sana na Misanya Bingi...yaani akipiga simu anaanza kutaja washikaji walioko pembeni yake kama kumi hivi halafu ndio aanze kuwatumia salamu watu watatu...yaani ndani ya sekunde 60 anakuwa keshatuma salamu kwa watu zaidi ya 15 hivi....Misanya Bingi alimshtukia akawa anamgongea kipusa na kumkata hewani.
Halafu misanya alikuwa anamkomesha kwa kugonga kipusa kama dakika moja hivi...yaani ukitafsiri ni kama vile alikuwa anamporomoshea mitusi kwake na kwa ndugu na masela wake.
Yaani huu utundu wa wabongo ungekuwa ni wa kutengeneza vyombo vya anga mwezini tungekuwa tushahamia.
Mkuu unafanya ufundi wa tv?Naitwa mjushi naishi tandale..njoo jukwaa la tv kule tufanye kazi acha mbinu zako za mwijuma ktk makorokoro ulikuwa unakula mabumunda shunie hatari
kagera rangers..enzi za akina juma bai
Nauza mkuu hapa sio sehem yake njoo kule jukwaa la matangazo madogo ktk jukwaa la matv uniulize unachotaka kuniuliza mkuu hapa tutaboa majirani zanguMkuu unafanya ufundi wa tv?
Ila hata hivyo basi tena mkuu, maana nilifikiri kuna uwezekano wa kufufua mfupa mmoja hivi, nilikua nishaanza kumpigia mtu anitajie serial nambaNauza mkuu hapa sio sehem yake njoo kule jukwaa la matangazo madogo ktk jukwaa la matv uniulize unachotaka kuniuliza mkuu hapa tutaboa majirani zangu
7A tulikuwa class moja mkuu yaan wewe na SHUNIE tunafahamiana vizuri tu coz shunie na AMINA RAMDHANI (R.I.P) na H KISTU Walikuwa wanasoma darasa moja na DADAANGU ila hizi ID tu jamani tunatukanana kumbe ni wamojaHahahahahaha umesahau kina msimbe,faza,jaru lashku n.k mm nilikuwa 7a na kina jones,job,yusr bkr,sharifa n.k hahahahahaha hapa jf ni kwikwi aseeeeeh ila goma liendelee tu tutakutana strt
Hahahahahaha stanley bishoo,7A tulikuwa class moja mkuu yaan wewe na SHUNIE tunafahamiana vizuri tu coz shunie na AMINA RAMDHANI (R.I.P) na H KISTU Walikuwa wanasoma darasa moja na DADAANGU ila hizi ID tu jamani tunatukanana kumbe ni wamoja
ticha mbogolo maarifa jamii alikuwa haandiki ubaoni anatusomea tu yaan
MSIMBE mpk leo yupo vilevile na wembamba wake ALIOA mwakajuzi kma sikosei tulikuwa wote na group ya MWANANYAMLA B P school nilikuwa napata taarifa nyingi za watu hasa MKUMBA alikuwa anapenda sana umoja km zamani HADIJA KISTU tulikuwa nae kwenye group pia pamoja na CHINGWI esta KIMARO na hao wote ulowataja na niliowataja
Tulikuwa tunapiga sana msuli kipindi kile kuna alqed ya kina sadalah,lijoh,loko,chiundo, nk na ile ya kina kawale,mkute,chozi, nk7A tulikuwa class moja mkuu yaan wewe na SHUNIE tunafahamiana vizuri tu coz shunie na AMINA RAMDHANI (R.I.P) na H KISTU Walikuwa wanasoma darasa moja na DADAANGU ila hizi ID tu jamani tunatukanana kumbe ni wamoja
ticha mbogolo maarifa jamii alikuwa haandiki ubaoni anatusomea tu yaan
MSIMBE mpk leo yupo vilevile na wembamba wake ALIOA mwakajuzi kma sikosei tulikuwa wote na group ya MWANANYAMLA B P school nilikuwa napata taarifa nyingi za watu hasa MKUMBA alikuwa anapenda sana umoja km zamani HADIJA KISTU tulikuwa nae kwenye group pia pamoja na CHINGWI esta KIMARO na hao wote ulowataja na niliowataja
HaahahahaMkuu hiyo ni kweli kabisa mie niliwahi kuishi mwananyamala hilo gogo lilikuwepo kwa mzee mmoja anaitwa mzee kindekile
Sharifa huyu wa minazini karibu na kwa kina Stella mng'andeHahahahahaha umesahau kina msimbe,faza,jaru lashku n.k mm nilikuwa 7a na kina jones,job,yusr bkr,sharifa n.k hahahahahaha hapa jf ni kwikwi aseeeeeh ila goma liendelee tu tutakutana strt