Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)


sure mm nimekulia magomeni kagera nimesoma karume p/s, mtaani lazima ujue kupigana
 
Nimechekaa sanaaa
Ahahhah kilichokuchekesha nikikumbuka nilikula ice cream zile za ukwaju na ninavyopenda ukwaju sasa mbona kila siku nilikua nawahi ili nipewe dell niuze
 
Reactions: Lee
Ahahhah kilichokuchekesha nikikumbuka nilikula ice cream zile za ukwaju na ninavyopenda ukwaju sasa mbona kila siku nilikua nawahi ili nipewe dell niuze
Kilichonichekesha eti halikuwa haesabu
 
Wanga wa m/nyamala washafanya yao.
Inawezekana aliamka anaumwa kichwa sana akamwambia mama akee akamuitie ostadh amsomee duwa ostadh kufika Amina masikini ameshakata roho
 
[emoji41][emoji41][emoji41] kweli nilisoma vibaya jaman siunajua uzee nilionao
Sio kwamba unamsumbua kale kadadaaa make unabopendaga kukaa mbali na kukaitaa kaziii hipoooo
 
Ungepita kipindi hiko baba.
Sasa hivi wakabaji wote wameshakufa na wezi wengi wanaendesha boda boda
100% nakubali......miaka ya tisini mpaka 2002 kuanzia m/nyamala A kwenda mpaka kwa M/zakaria ilikuwa hatari sana....kuna zile nyumba za kota (M/nyamala A) jamaa walikuwa wanakaa kwenye vile vichochoro. Na ndipo roba za mbao zilipoanzia.
 
100% nakubali......miaka ya tisini mpaka 2002 kuanzia m/nyamala A kwenda mpaka kwa M/zakaria ilikuwa hatari sana....kuna zile nyumba za kota (M/nyamala A) jamaa walikuwa wanakaa kwenye vile vichochoro. Na ndipo roba za mbao zilipoanzia.
Vichochoro vyote siku hizi hamna watu wamevunja nyumba zao na kujengwa upya ilikua ukipita kichochoro hiki unatokea mtaa wa pili siku hizi ukianza kuingia mtaani moja kwa moja mpachi chini utokee mtaa wa pili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…