Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Nasikia kuna wizi wa majeneza umeibuka msisiri B... Mzee mmoja anasema anashangaa miaka yote haijawah kutokea[emoji3]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mmh hili ngoja nitaenda huko weekend hii
 
Namkumbuka mama zakaria bonge, nishabeba Binti yake naye anamzigo wa haja nampeleka beach tunamalizana Huku huko, sijui yupo pale, mkubwa siyo yule mdogo
 
Tushaenda kucheza mikoroshini chini pale na American embassy, sijui ilitokea nini nikaacha jino, mimi nacheka tuu
 
Walikuwa na sehemu yak hapo wanafanya birthday parties, ukipiga deo unashangaa wanaume wana shanga kiunoni
 
Ukiwa umekulia dar watu Wa Mwananyamala lazima ukutane nao ktk mpira ndondo au ligi za mchangani , beach club au shuleni lazima waraouathiri tuu au utapata story zao au kuzushuhudia
Mbona mechi za tandale huzikumbuki na ngumi zake
 
Mbona mechi za tandale huzikumbuki na ngumi zake
mkuu nimeongelea kwa ujumla sana mimi kwetu luhanga , Kigogo na Mburahati. Sijakaa mwananyamala nilikuwa mpitaji tuu na ni bado mpitaji. story nyingi za watu wa huko utazipata au utashuhdia ktk mechi zao na hapo ni mpaka timu yetu ikutane na za huko ktk ligi amabazo mara nyingi makurumla na kinesi.
moja ya ninachokikumbuka ni kama mnachezaza na timu za huko ni lazima mjiandae na wababe wenu wawepo. nakumbuka kuna jamaa anaitwa EMMA kama sikosei alikuwa anasaidia sana timu za kitaa.
ila mwananyamala inasifika hata kipidi kile tunaenda coco beach kipindi cha skku tulikuwatunacheza mbali na namba za mbagala tandale na mwananyamala yaani ilikuwa mnajulikana kuwa hamtokei mitaa hiyo kwanza mnakuwa na hofu na piga ua mtakuwa outnumberd wao lazima wawe wengi tuu.
 
unanikumbusha mbali ujue..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…