Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mashaga kawa mbaba ameoa eti nipo naye huku mitaa ya kati tumekutana tena me kumjua mashaga best friend wake yohana joshua tulisoma wote B na yohana anaishi mitaa ya kule kule kwenu kwa mbeleWhaaatttt!!!!!!! Mashaga namkumbuka tulikuwa tunaishi mtaa mmoja. Ngoja nikuelekeze kwetu halafu nijue kama utanikumbuka. Nyumba yetu inatizamana na mgahawa wa chiku kambi. Kuna geti jeusi na kuna miti ya miashoki kama 6 hivi ipo kwenye kona ya kwenda kituo cha polisi upande wa kushoto. Kwetu tulikuwa tunauza askirim
Classic