Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Kuna kipindi cha mfungo wa Ramadhani pale Kulesi(Bakule) wakaweka tangazo la taarab kiingilio kinywaji tu sasa kwenye lile bango wakaandika "kwa ndg zetu waliofunga daku pia inapatikana" dah kwenye swala ya saa mbili pale mtambani kuna jamaa akawatangazia waumini,kama unavyojua pale makareteka kibao na ukizingatia mwenye bar aliyeandika tangazo mgalatia! Waliingia pale bar zilitembezwa bakora na karate kwa kila waliyemkuta,mwenye bar alijificha wangemkamata wangeua
Nakumbuka tulikuwa tunaenda kufturu taqwa kwenye futari ya bure
 
Mario ndiyo mtu mwenye tabia gani kiongozi? Halafu umenikumbusha habari ya hapo mtaa wa karago na wibu, niliishi hapo baada ya kuoa tu bwana Mshana jr.

Ili nipate wepesi wa kwenda kazini kwangu, lakini! Niliacha kodi yangu vyumba viwili ya miezi 3.5. Pale ni laana tupu!! Nimejirudia zangu kimara nilipokulia aisee.
 
Wakuu nani anamjua jafary mamba a.k.a DUDU kwao kulikuwa pale uwanja wa B shule msingi nyumba za nyuma pale baba yao alikuwa anauza kobe, nyoka, vinyonga, kenge kwa wachina
 
Wakuu nani anamjua jafary mamba a.k.a DUDU kwao kulikuwa pale uwanja wa B shule msingi nyumba za nyuma pale baba yao alikuwa anauza kobe, nyoka, vinyonga, kenge kwa wachina
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namjua sana huyo mkuu DUDU nasikia ni mwalimu eti siku hizi nimesoma nae kinondoni muslim class mmoja...
vituko vyake ni balaa sana mshikaji wake mkubwa alikuwa gwamaka huyo gwamaka alikuwa denti pale Jitegemee kuna kipindi alidata huyu Gwamaka wakasema bangi....
DUDU sijui yupo wapi siku hizi?? ila nasikia mkoani
**** kuna siku DUDU aliopoa demu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] AKAMGEGEDA kisawa sawa kumbe yule dada alikuwa na njaa ajakula kitu sijui ata waliokotana wapi dada alikuwa mkubwa tu km 25years amemkuta DUDU ameshapiga mabangi yake dada wa watu alipelekewa show ya kibabe mpaka alizimia kabisa.
DUDU alichanganyikiwa sana alitufata maskani mbio sana "jamanii twendeni huku nimeuwa" tukatoka mbio mpaka eneo la tukio ni kageto kachafuu joto balaa giza hatari huwezi kumuona wa ndani ni giza room aina umeme wala mshuma..room inanuka mavi matupu DUDU alikula vyote kwa yule mdada mpaka dada kazimia tunamuliza ulimpa chakula anasema "nilimnunulia mihogo ya mia mbili alikunywa maji (geto humo kuna na kakikombe cha bati na ndoo ya maji)
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namjua sana huyo mkuu DUDU nasikia ni mwalimu eti siku hizi nimesoma nae kinondoni muslim class mmoja...
vituko vyake ni balaa sana mshikaji wake mkubwa alikuwa gwamaka huyo gwamaka alikuwa denti pale Jitegemee kuna kipindi alidata huyu Gwamaka wakasema bangi....
DUDU sijui yupo wapi siku hizi?? ila nasikia mkoani
**** kuna siku DUDU aliopoa demu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] AKAMGEGEDA kisawa sawa kumbe yule dada alikuwa na njaa ajakula kitu sijui ata waliokotana wapi dada alikuwa mkubwa tu km 25years amemkuta DUDU ameshapiga mabangi yake dada wa watu alipelekewa show ya kibabe mpaka alizimia kabisa.
DUDU alichanganyikiwa sana alitufata maskani mbio sana "jamanii twendeni huku nimeuwa" tukatoka mbio mpaka eneo la tukio ni kageto kachafuu joto balaa giza hatari huwezi kumuona wa ndani ni giza room aina umeme wa mshuma..room inanuka mavi matupu DUDU alikula vyote kwa yule mdada mpaka dada kazimia tunamuliza ulimpa chakula anaseme "nilimnunulia mihogo ya mia mbili alikunywa maji (geto humo kuna na kakikombe cha bati na ndoo ya maji)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe Salum dah ndio huyo huyo jamaa wew unamjua vizuri icho kigeto kilikuwa mitaa gani mzeee dah
 
Nilikuwa na mchumba mmoja anaishi huko Mwananyamala. Huyu mchumba alikuwa wa kisure fulani hivi sema ndio wazazi walijenga huko kitambo. Ila alikuwa na tabia za kihuko huko.

Sitasahau kumlia mingo kumbe na mimi wazee wa roba za mbao wananilia timing.

Ila mchumba alikuwa mtata sana
 
Nilikuwa na mchumba mmoja anaishi huko Mwananyamala. Huyu mchumba alikuwa wa kisure fulani hivi sema ndio wazazi walijenga huko kitambo. Ila alikuwa na tabia za kihuko huko.

Sitasahau kumlia mingo kumbe na mimi wazee wa roba za mbao wananilia timing.

Ila mchumba alikuwa mtata sana
So ulikula ngeta? Mitaa gani?
 
Mario ndiyo mtu mwenye tabia gani kiongozi? Halafu umenikumbusha habari ya hapo mtaa wa karago na wibu, niliishi hapo baada ya kuoa tu bwana Mshana jr.

Ili nipate wepesi wa kwenda kazini kwangu, lakini! Niliacha kodi yangu vyumba viwili ya miezi 3.5. Pale ni laana tupu!! Nimejirudia zangu kimara nilipokulia aisee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Mario ni vijana wa kiume wanaolelewa na mashuga mummy
 
Asante mzee Mshana kwa kunijuza, pia naonaga majina kama benten, na hii sijui maana yake ni nini? Nashukuru sana mkuu
Benten ni kikaragosi /kimdoli cha kiume kinapendwa sana na watoto wadogo
 
Kombe la Dunia Mwaka 199O
Mwananyamala nzima..
TV tulikuwa tunaangalia kwa Mzee Tabu Jumanne Mangala..
alikuwa Mkuu wa Jeshi la Magereza...
Lazima Uoge ndo uingie ukacheki Game ndani
Tena TV ilikuwa inawekwa nje uani.....
nyumba yake ipo barabarani karibu na mochwari ya Mwananyamala Hospital
 
Back
Top Bottom