Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namjua sana huyo mkuu DUDU nasikia ni mwalimu eti siku hizi nimesoma nae kinondoni muslim class mmoja...
vituko vyake ni balaa sana mshikaji wake mkubwa alikuwa gwamaka huyo gwamaka alikuwa denti pale Jitegemee kuna kipindi alidata huyu Gwamaka wakasema bangi....
DUDU sijui yupo wapi siku hizi?? ila nasikia mkoani
**** kuna siku DUDU aliopoa demu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] AKAMGEGEDA kisawa sawa kumbe yule dada alikuwa na njaa ajakula kitu sijui ata waliokotana wapi dada alikuwa mkubwa tu km 25years amemkuta DUDU ameshapiga mabangi yake dada wa watu alipelekewa show ya kibabe mpaka alizimia kabisa.
DUDU alichanganyikiwa sana alitufata maskani mbio sana "jamanii twendeni huku nimeuwa" tukatoka mbio mpaka eneo la tukio ni kageto kachafuu joto balaa giza hatari huwezi kumuona wa ndani ni giza room aina umeme wala mshuma..room inanuka mavi matupu DUDU alikula vyote kwa yule mdada mpaka dada kazimia tunamuliza ulimpa chakula anasema "nilimnunulia mihogo ya mia mbili alikunywa maji (geto humo kuna na kakikombe cha bati na ndoo ya maji)
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimesoma almost kila comments nimecheka sana na nimekumbuka mengi,nimeishi Mnyamala long ago, darasa la kwanza nimeanza Mnyamala B primary ila memory haipo kwa sana what only nakumbuka tulivyokuwa tunachanja mitaa matumbo wazi tukienda Dampo Tabata au Mikocheni beach kwa miguu kutokea mitaa ya Mama Zakaria!nakumbuka ngoma za madogori na process za kuwatoa watu uchawi pia mdundiko kila siku Nakumbuka nyumba tuliyoishi 80s nakumbuka hotel moja maarufu ilikuwa yaitwa Motel Villa kipindi hicho weekend ilikuwa ni disco hakuna siku disco lilipita bila ugomvi, nakumbuka ilitubidi tuhame baada ya wazazi wangu kugungua tulikuwa tunarogwa /tunawangiwa tukqhamia Sinza,wazazi wangu wana miliki nyumba mitaa ya bondeni nyuma kwa mama Zakaria,uwa nikipataga nafasi naenda mara moja moja kuangalia panaendeleaje ingawa ni almost gofu na hakuna mtu kati yetu mwenye interest napo kwa ajili ya vituko vya maeneo hayo including uchawi.
Huwa najaribu kui locate baa moja ilikuwa yaitwa Matimila nafikiri Remy alikuwa anafanyia mazoezi sipapati napenda nipafahamu nakumbuka nilikuwa natoroka shule naenda kuchungulia hayo mazoezi Mshana utanisaidia maana wewe ni mwenyeji kiasi.
Unakujua kwa mama chubwa? Dooh zamani sana kukimbizaba hadi bwawani kule.
 
Nimesoma almost kila comments nimecheka sana na nimekumbuka mengi,nimeishi Mnyamala long ago, darasa la kwanza nimeanza Mnyamala B primary ila memory haipo kwa sana what only nakumbuka tulivyokuwa tunachanja mitaa matumbo wazi tukienda Dampo Tabata au Mikocheni beach kwa miguu kutokea mitaa ya Mama Zakaria!nakumbuka ngoma za madogori na process za kuwatoa watu uchawi pia mdundiko kila siku Nakumbuka nyumba tuliyoishi 80s nakumbuka hotel moja maarufu ilikuwa yaitwa Motel Villa kipindi hicho weekend ilikuwa ni disco hakuna siku disco lilipita bila ugomvi, nakumbuka ilitubidi tuhame baada ya wazazi wangu kugungua tulikuwa tunarogwa /tunawangiwa tukqhamia Sinza,wazazi wangu wana miliki nyumba mitaa ya bondeni nyuma kwa mama Zakaria,uwa nikipataga nafasi naenda mara moja moja kuangalia panaendeleaje ingawa ni almost gofu na hakuna mtu kati yetu mwenye interest napo kwa ajili ya vituko vya maeneo hayo including uchawi.
Huwa najaribu kui locate baa moja ilikuwa yaitwa Matimila nafikiri Remy alikuwa anafanyia mazoezi sipapati napenda nipafahamu nakumbuka nilikuwa natoroka shule naenda kuchungulia hayo mazoezi Mshana utanisaidia maana wewe ni mwenyeji kiasi.
Matimila ipo mitaa uwanja wa ccm mwinjuma kwa nyuma ipo mpaka sasa hivi.Remmy alikuwa anakuja kutumbuiza pale Wami bar.
Anakula mmea na gongo kwanza uswahilini ndio anaingia stejini.
 
mshana jr ile mishikaki karibu na pale wami bar kwenye kona ni ya ng'ombe kweli jamani? midoogo ilikuwa inauzwa sh 100 na pilipiliii tamuu jioni unakuta foleni hadi ya magari
 
Prof Vulata alikuja kuwa mlokole baadae alifariki mwaka 2008 au 2009.Alivyofariki nyumba zake alizoacha urithi mbili zikaungua moto kwa kufuatana. Hicho kisa cha "mzimu" wake feki kudondoka toka darini ni cha kweli kabisa.

Vulata ni kondoo dume, hivyo alikuwa na desturi usiku wa mwaka mpya analiteketeza likondoo limoja yaani analiwasha moto linateketea kabisa bila kulichinja. Pale bichwa lake linapopasuka na yeye prof Vulata anapiga risasi moja hewani kutoka kwenye gobore lake.
Nimeishi na kusoma mwananyamala.Kuna mganga mmoja wa kienyeji alikuwa anaitwa profesa vulata (sijui yupo wapi nowadays).Kuna jirani yetu alienda na nduguze kupata tiba ktk clinic yake.Wakati tiba na manyanga yakiendelea,ghafla mpiga nyanga akashuka na dari puuuuu hadi chini alipokuwa mgonjwa na nduguze.Mgonjwa na nduguze walitoka mbio acha tu.
 
huyu mzee kwa sasa amesetle kibaha... ni jirani yetu anakaa sehemu inaitwa mkoani jirani kabisa na nyumba ya mkuu wa mkoa wa pwani
Chief kumbe na wewe upo.JF.msalimie captain ila. Badili jina chief lipo too identical
 
mshana jr ile mishikaki karibu na pale wami bar kwenye kona ni ya ng'ombe kweli jamani? midoogo ilikuwa inauzwa sh 100 na pilipiliii tamuu jioni unakuta foleni hadi ya magari
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ile mishkaki ile......
 
Prof Vulata alikuja kuwa mlokole baadae alifariki mwaka 2008 au 2009.Alivyofariki nyumba zake alizoacha urithi mbili zikaungua moto kwa kufuatana. Hicho kisa cha "mzimu" wake feki kudondoka toka darini ni cha kweli kabisa.

Vulata ni kondoo dume, hivyo alikuwa na desturi usiku wa mwaka mpya analiteketeza likondoo limoja yaani analiwasha moto linateketea kabisa bila kulichinja. Pale bichwa lake linapopasuka na yeye prof Vulata anapiga risasi moja hewani kutoka kwenye gobore lake.
Duuu[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Kuna siku bado nipo mdogo nipo form two nimekatisha makaburini mwananyamala mda km saa mbili usk nakwenda CAMP (kujisomea na wanafunzi wenzangu ili uingie form three kuna wastani) nakatisha pale makaburin wametoka jamaa moja mbele yangu gafra tu mara huku nyuma wametokea jamaa wawili nikawa nipo katikat flani hivi ila bado kuna distance yanii awajanifikia wala sijawafika ila nishagundua hawa ni wandewa...sasa kwa mbali kunasikaka sauti ya mnanda(mchiriku) maeneo ya kwa kina mbamba huko chaukucha..nikaona dah leo nimekwisha sina simu, sina pesa ila wahuni awawezi kunielewa km mimi denti tu. fasta nikajitia kuimba wimbo wa mnada " washa shideo eeh shideo washa shideo eeh shideo huku naelekea mbele alipo yule mmoja wahuni wakabaki pending kama vile wanajiuliza huyu ng'ombe au mwenzetu??huyu muhuni mwenzetu au?? Wakiwa wamestuck nilikatisha katikati yao kama air force one[emoji125] [emoji125] [emoji125] vitendo vyote vilifanyika sekunde kadha kuwasoma na kuwaact na kutoka speed

🙂🙂🙂🙂
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] namjua sana huyo mkuu DUDU nasikia ni mwalimu eti siku hizi nimesoma nae kinondoni muslim class mmoja...
vituko vyake ni balaa sana mshikaji wake mkubwa alikuwa gwamaka huyo gwamaka alikuwa denti pale Jitegemee kuna kipindi alidata huyu Gwamaka wakasema bangi....
DUDU sijui yupo wapi siku hizi?? ila nasikia mkoani
**** kuna siku DUDU aliopoa demu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] AKAMGEGEDA kisawa sawa kumbe yule dada alikuwa na njaa ajakula kitu sijui ata waliokotana wapi dada alikuwa mkubwa tu km 25years amemkuta DUDU ameshapiga mabangi yake dada wa watu alipelekewa show ya kibabe mpaka alizimia kabisa.
DUDU alichanganyikiwa sana alitufata maskani mbio sana "jamanii twendeni huku nimeuwa" tukatoka mbio mpaka eneo la tukio ni kageto kachafuu joto balaa giza hatari huwezi kumuona wa ndani ni giza room aina umeme wala mshuma..room inanuka mavi matupu DUDU alikula vyote kwa yule mdada mpaka dada kazimia tunamuliza ulimpa chakula anasema "nilimnunulia mihogo ya mia mbili alikunywa maji (geto humo kuna na kakikombe cha bati na ndoo ya maji)
Vijana wa Dar ninavyowajua lazima mlipiga collabo.
 
Back
Top Bottom