Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vibaka wote tulimaliza
Hawakuisha wote hata wale maarufu waliuliwa tu baadhi kama kina skadi dame dotto kishara na wengine ila wengi walizamia south na kuhama makazi wapo mbagara chamanzi chanika bagamoyo kibaha na maeneo mengine
 
Hawakuisha wote hata wale maarufu waliuliwa tu baadhi kama kina skadi dame dotto kishara na wengine ila wengi walizamia south na kuhama makazi wapo mbagara chamanzi chanika bagamoyo kibaha na maeneo mengine
Kumbwiga,Jumanne, Morocco , Tito naaamini huko kuzimu hawajanisahau
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
[emoji13]

Salalee!
 
Back
Top Bottom