Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi huku wanakaa wastaraabu[emoji23][emoji23]ila bwana mwananyamala, Kinondoni pamoja na magomeni haya maeneo sijui nayaonaje hata nikisikia mtu kapata dem anakaa hayo maeneo naona ndo walewale tu
Hawakuisha wote hata wale maarufu waliuliwa tu baadhi kama kina skadi dame dotto kishara na wengine ila wengi walizamia south na kuhama makazi wapo mbagara chamanzi chanika bagamoyo kibaha na maeneo mengineVibaka wote tulimaliza
Kumbwiga,Jumanne, Morocco , Tito naaamini huko kuzimu hawajanisahauHawakuisha wote hata wale maarufu waliuliwa tu baadhi kama kina skadi dame dotto kishara na wengine ila wengi walizamia south na kuhama makazi wapo mbagara chamanzi chanika bagamoyo kibaha na maeneo mengine
Mwaka 1998/99 kaka yangu alipigwa risasi wakati anaiba kila nikikumbuka inaniwia vigumu sana kupiga mwiziKumbwiga,Jumanne, Morocco , Tito naaamini huko kuzimu hawajanisahau
Kijana Wa dar unayeishi kibiti..Vibaka wote tulimaliza
Dah...ushawahi kuingia kwenye 18 zangu nini? maana ni wengi mno [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nimeshakukumbuka...ngoja nifufue kisasi
[emoji13]Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
DuuuuuHapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
Du! Siyo mchezo! Kamanyola chochoro lile ilibidi litengenezewe muvi flani hivi,.Duuuuu
Salalaleeee ![emoji37]
Bila shaka huyu naye alikuwa anakaa kwenye hilo gogo ,Manyau nyau alilosema ni ubohoNa ww pia utakuwa wa Mwananyamala....unacheka mpaka unajamba?