Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
Kuna tapeli mmoja ana ka grosali mitaa ya kopa kabana kwa juu anaitwa dany msukumu kabila lake akishirikiana na vijana wake wanajiita nyumba ndogo na halauka mtafute mshana jr
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I seeeee..... Mkuuu umetishaaaaa... Dah... Nimecheka sanaMwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.
Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.
Akaandika Chama Ha Mapundusi
Mwandiko kama bata.
Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu
"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
hazikuepo bajaji zimeanza 2009 mwananyamalaMmh hivi bajaji kipindi kile zilikuepo kweli
MhMkuu unataka simu humu?? Ila usirudi humu ataufanyi biashara humu wandewa sorry acheni nimpe simu kwanza huyo mdau ndugu ni PM nikupe 6+ boxed
Ndio nimeshangaa miehazikuepo bajaji zimeanza 2009 mwananyamala
Sister ake unaguna nini? Kaka ako napambana njoo kule jukwaa biashara na matangazo madogo la matv na masimu usapport kazi za kijanja UK to Dar
GHalauka ameshafarik miaka 3 au 2 sasaKuna tapeli mmoja ana ka grosali mitaa ya kopa kabana kwa juu anaitwa dany msukumu kabila lake akishirikiana na vijana wake wanajiita nyumba ndogo na halauka mtafute mshana jr
Ahahahahah!..Aisee we jamaaa nyoooko.Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
Daaa masikin mzee wa viloba aliisha sana daaaGHalauka ameshafarik miaka 3 au 2 sasa
Nilishawahi kupigwa kabari ya kizushi ila fasta wakaniachia kwa sababu my Gf ana binamu zake wamepinda vilevile.Aliekuaminisha hivyo hakutakii mema! Ila hamna raha kama kwenda kuchukua mtoto uswazi halafu wale masela kitaa wanakumind....
Mkuu nakuona mdogomdogo.Wewe nakukubali sana. Vi sista du uchwara visingeibuka hapa kusema walikulia nyamala!
Kuna ile komando Yosso ya Mtitu. Imetumia majina na matukio mengi halisi ya wahuni wa bonde la magomeni na Kigogo -mburahati. Nafkiri movie ilikuwa inspired na kipindi cha Seki City sound ambayo alimhoji jamaa mmoja komando Yosso Wa zamani anaitwa "Takbare" kwa maelezo yake anaishi Kigogo-Mburahati.Kuna bongo movie moja imetoka juzi juzi inaitwa karibu Tandale ya jimmy mafuvu kidigo amejitahidi kuelezea visa vya uswahili katika ile movie.Sema bado sanà bongo movie hawajiongezi tu uswahilini unatoa script moja kali sana.
Sawa nakuja ebu niambie basi unaitwa nani jaman kwahiyo upo ukSister ake unaguna nini? Kaka ako napambana njoo kule jukwaa biashara na matangazo madogo la matv na masimu usapport kazi za kijanja UK to Dar
Umesahau Tandale mkuuUkiwa na mke au watoto. Sehemu hizi sio nzuri kuishi nayo:-
Mwananyamala
Magomeni
Keko
Buguruni
Ilala
Vingunguti
Bonde la msimbazi
Msasani bonde la mpunga
Iyo mieneo mtoto kudata ni kitu cha Kawaida sana
Mtito wa kota... Geti kali, nilikuzingua tu... Mimi sikukaa sana A.. Baadae tulijahamaKwendraaaa me nilikua mtoto wa kishua kwa mwananyamala yetu nakaa ushuani si unajua A ndio kwa kishua kwa mwananyamala
Sawa 4GMtito wa kota... Geti kali, nilikuzingua tu... Mimi sikukaa sana A.. Baadae tulijahama