Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mkuu ungetupia picha ya eneo lililokuwepo lile gogo kwenye maskani ambapo manyaunyau alitoa ile kitu ya wachawi iliyokuwa inakula rinda za wana[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
Dogo bwege tu yule manyaunyau [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] GOGO limeoza kamanda sasa GOGO lingekuwa dushe lingeoza kwel? alitibua wahuni tu siku zile [emoji23] [emoji23] maana wahuni wote wangekuwa wajawazito
 
Hivi alikua na lafudhi ya kikenya kweli mida yake ilikua kuanzia sa 9
Basi ntakuwa nimemfananisha na ticha José mmoja hivi alikuwa Mrefu , with Mongolian head anakunywa pombe za kuenyeji au viroba huwa anafundishaga English
 
Subiri unakuja wa combine ya Migo Tandale Manzese na Mburahati mpaka Kigogo
Kuna wale akina Arnold , Dame , etc Aisee.
Kuna siku matumla mkubwa amekuwa polisi Wa defenda aliingia chaka bovu Tandale kumkamata mtu mmoja hivi. Akawakuta watu hawana habari nae. Utaratibu ukivamia maskani ambayo waharifu ni wengi kuliko nyinyi inabidi useme unamtka nani.
Matumla akamtaja kwa jina jamaa. Wakamuuliza unamjua ! Akasema ndiyo. Unamuweza akasema ndiyo. Wakamwambia mchukue. Hapo sasa zilitembea kavukavu...Matumla akapigwa akaaga akamuacha jamaa. Ila alivyorudi siku nyingine akamtolea bomba akamchumkua.

Hiyo mitaa inastory za uharifu unaweza usiamini.
 
Dogo bwege tu yule manyaunyau [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] GOGO limeoza kamanda sasa GOGO lingekuwa dushe lingeoza kwel? alitibua wahuni tu siku zile [emoji23] [emoji23] maana wahuni wote wangekuwa wajawazito
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji124] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Kuna biashara inaendelea pale Minazini kuna nyumba imejengwa km madarasa ya shule (jina maarufu kwa wahaya).

Kipindi kile bao moja ilikuwa 1500, kulala 5000 mda wa biashara ni saa 7 mchana mpaka midnite. Vile vyumba vina milango miwili yanii unaingia mbele unatokea nyuma..

Wanaojiuza unawakuta wamekaa mlangoni pale chini mteja akija hakuna ata salamu ni speed tu ndani, kuna wamasai pale wao ni km walinzi wa ile biashara ukizingua kulipa wanakupa kichapo. Wateja wengine walikuwa wanakwenda kutolewa ndani ya room unakuta mteja amelipa 1500 ya mwendo mmoja yeye anaunganisha basi anaitwa mmasai fasta na bakora zake....

Pia hawa wamasai unakuta analipwa elfu 60 kwa mwezi ila mwisho wa mwezi anaambulia elfu 8 au 10 nyingne zote anakuwa anapewa huduma sana sana za buku 5 zile za kulala usk...HAPO ni MINAZINI.
 
Kuna biashara inaendelea pale Minazini kuna nyumba imejengwa km madarasa ya shule (jina maarufu kwa wahaya).

Kipindi kile bao moja ilikuwa 1500, kulala 5000 mda wa biashara ni saa 7 mchana mpaka midnite. Vile vyumba vina milango miwili yanii unaingia mbele unatokea nyuma..

Wanaojiuza unawakuta wamekaa mlangoni pale chini mteja akija hakuna ata salamu ni speed tu ndani, kuna wamasai pale wao ni km walinzi wa ile biashara ukizingua kulipa wanakupa kichapo. Wateja wengine walikuwa wanakwenda kutolewa ndani ya room unakuta mteja amelipa 1500 ya mwendo mmoja yeye anaunganisha basi anaitwa mmasai fasta na bakora zake....

Pia hawa wamasai unakuta analipwa elfu 60 kwa mwezi ila mwisho wa mwezi anaambulia elfu 8 au 10 nyingne zote anakuwa anapewa huduma sana sana za buku 5 zile za kulala usk...HAPO ni MINAZINI.
 
Kuna wale akina Arnold , Dame , etc Aisee.
Kuna siku matumla mkubwa amekuwa polisi Wa defenda aliingia chaka bovu Tandale kumkamata mtu mmoja hivi. Akawakuta watu hawana habari nae. Utaratibu ukivamia maskani ambayo waharifu ni wengi kuliko nyinyi inabidi useme unamtka nani.
Matumla akamtaja kwa jina jamaa. Wakamuuliza unamjua ! Akasema ndiyo. Unamuweza akasema ndiyo. Wakamwambia mchukue. Hapo sasa zilitembea kavukavu...Matumla akapigwa akaaga akamuacha jamaa. Ila alivyorudi siku nyingine akamtolea bomba akamchumkua.

Hiyo mitaa inastory za uharifu unaweza usiamini.
Usimalize utamu
 
Mimi huyu mshana jr nashindwaga kumuelewa....huwa najiuliza ni kitengo aliyetumwa kuja na mbinu ya uchawi au in mtu wa aina gani.........karibia kila uzi anaoleta lazima uwe na uchawi ndani take.
[emoji15] [emoji15] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Mkuu kuna siku tulimfata Kijana mmoja anaitwa SAMILO unamjua Samilo""? Ah ah ah hio siku hio jombaa Tandale iliwaka moto Tandale ilisimama Wima...**stori ya samilo huyu jamaa maskani yake posta ni mpigaji wa kwenye magari mwiz hatar sana kila mbinu unayoijua ya upigaji yeye anaijua style zote anatumia mpaka uchawi, masterkey, spry, kushikilia kitasa n.k..
Siku ya tukio hassan ameingia bank holland pale CRDB ktk gari kuna pesa milion moja Samilo amenusa ameipitia pesa ktk gari...hassan amemaliza kilichompeleka Bank anarudi ktk gari yake mazingira yapo tofaut dah anagundua ameshaingizwa mjini..akawasha gari akarudisha report mtaani ONE NIL Smart Area mwananyamala...tukatoka mtu tatu mpaka eneo la tukio na gari lile lile tukakuta parking ile ile ipo wazi..** tukamfata dada mmoja wale waparking tukampiga bit kisawasawa dada akatoa infro kuwa wenye michezo hio ni wale wale wanaojitia kuosha magari ktk kuchekchek tunamuona muoshaji mmoja km anatukwepa kwepa hivi bila kuchelewa tukamshika tukampa vitasa vingi tu tukamwambia umetuibia ile kesi yote tukampa yeye anaitwa tibaigana huyo jamaa tukamwambia tunakwenda na wew mwananyamla. Mara vuuu polis wakatuzunguka "niaje niaje majamaa" "wazee huyu mwizi wetu tunaomba mtuachie tu" halloo hapana twendeni kituo cha kati poa tukamtia ktk gari na polis wawili njiani jamaa akatuambia aliyewapiga pesa zenu ni samilo maskani tandale sana sana uwanja wa fisi

Nafupisha ni stor ndefu sana pale kituo cha kati tuliyajua mengi sana kuhusu wezi wa city centre na mahusiano na mama moja mkubwa hapo kituoni kipndi icho

**Tunajipanga kuingia tandale sasa tukatafuta mateja wawili wa tandale wakawa maspy wetu pesa ya kete wakapewa aftr two days report ya samilo ipo mezani..haice moja, vits moja na carina moja wandewa wamejaa kila gari hakuna mwenye panga wala kisu ni NAKOZ tu tukaifunga uwanja wa fish yote ni nakoz tu kila aliyejitia kimdomdomo tukamchuka Samilo wetu mpaka mwananyamal....
Duh hii ilikuwa noma mkuu ikawaje tena
 
Alikuwa analialia tu nipelekeni polis nipelekeni polis eti tumpeleke polis tena anatuambia kabisa nimewaiba mjini nipelekeni kituo cha kati pale..."tukamwambia samilo wale polis wameajiriwa tu ila sisi tumezaliwa tukiwa mapolis"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dogo bwege tu yule manyaunyau [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] GOGO limeoza kamanda sasa GOGO lingekuwa dushe lingeoza kwel? alitibua wahuni tu siku zile [emoji23] [emoji23] maana wahuni wote wangekuwa wajawazito
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna wale akina Arnold , Dame , etc Aisee.
Kuna siku matumla mkubwa amekuwa polisi Wa defenda aliingia chaka bovu Tandale kumkamata mtu mmoja hivi. Akawakuta watu hawana habari nae. Utaratibu ukivamia maskani ambayo waharifu ni wengi kuliko nyinyi inabidi useme unamtka nani.
Matumla akamtaja kwa jina jamaa. Wakamuuliza unamjua ! Akasema ndiyo. Unamuweza akasema ndiyo. Wakamwambia mchukue. Hapo sasa zilitembea kavukavu...Matumla akapigwa akaaga akamuacha jamaa. Ila alivyorudi siku nyingine akamtolea bomba akamchumkua.

Hiyo mitaa inastory za uharifu unaweza usiamini.
Afu na mwananyamala si alikuepo Damme ila naona sa hiv katulia alikua jela
 
Usimalize utamu
Mkuu nimefurahi sana na huu uzi mana umenikumbusha mbali niliwahi kukaa mwananyamala miaka ya 2002 mitaa ya nyuma ya guest ya kamanyola. Lakin kuna baadhi ya vituko nilikua sijui aisee labda kwa kuwa nilikuwa mtu wa kuja kulala asubuhi naondoka mpaka tena usiku usiache kuni tag ukileta uzi mwingine.
 
Back
Top Bottom