Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
duh kwahiyo mwna huna marinda
 
Sasa nimeelewa kwa nini Chadema waliamua kuweka makao makuu ya Chadema mwananyamala ni chama cha wahuni ofisi zao ziko kwa wahuni wa kila namna na ofisi yenyewe kuanzia muonekano ni ya kihuni
Makao makuu yapo kinondoni kaka ulizia uambiwe mtaa wa ufipa
 
Nakumbuka kuna siku tulipotea njia na jamaa yangu mitaa ya mwananyamala ujiji sasa tukapita kichochoro kimoja tukakuta masela wanacheza kamari na panga mfukoni
Tulitimua mbio hadi tukajua njia ya kutokea
Thanks Mkuu mana umenifanya nismile kaka.

Ahsante sana kaka
 
Najua. Morocco aliuawa mchana wa saa 6, nyumbani kwao mbele ya Ndugu zake.
Na Kumbwiga alimalizwa Jangwani kwenye Mashamba ya mboga mboga.
Kumbwiga alipiga kwangu, mchoro alimchorea pembe , baada ya kupiga vitu kibao sitting room jikoni na baluni langu akakimbilia Tegeta, ilikuwa jumatatu asubuhi ....nikajiapiza kuwa huyu ijumaa tunazika....watu wakaona mikwara
Jumatano akarudi kinondoni kusikilizia kisha alhamisi asubuhi akatimkia Ilala, mchana wake akaja magomeni na kukunja kuelekea jangwani....akiwa jangwani akampora dada mmoja mkufu wake...ndio ilikuwa kiama chake...tulikuta wananchi wenye hasira kali wameshamiza mchezo....kesho yake ijumaa mchana tulikuwa tunazika[emoji879][emoji88][emoji1562][emoji1562][emoji1562][emoji1562]
 
Kwenye makutano ya akachube road na barabara ya kuelekea stendi makumbusho kuna nyumba ya jw.
Huwa sielewagi kwa nini ile nyumba iliwekwa pale
 
CC: katibu wa chama cha walipa kodi wakubwa Tanzania ndugu mrangi Mzee wa OVA...!
 
.
IMG-20190216-WA0212.jpeg


Jr[emoji769]
 
Kuna story za wasanii wa manzese pale Bakhresa sokoni. Aisee kuna wasanii pale sijapata ona. Kuna jamaa aliuzaga ghorofa kariakoo na siyo lake. Wenyewe huwa wanaitanaga walimu na mwanafunzi. Pale ndipo alipotoka JB muigizaji na Mhogo Mchungu.
Ktk Tanzania hii hakuna wasanii kama kabila la Wahaya.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Back
Top Bottom