mimi ela
Senior Member
- Nov 9, 2017
- 162
- 92
Tutafute ela,
Kama ilivyo ada wanajopo tupeane laini laini za ndugu zetu hawa"high price life"watoto wakishua..
Kiukweli ukitaka usiwe na stress jaribu kukaa nao hawa, wana-exposure sana anaweza kupa hela akasema "keep change" hawa wakishua wakike, hata prof jay ashaambia"keep change, unamawazo mengi, itakufariji wikend "hizo ndo depo zao...Mambo ya kuhongana hawajui
Tukija kwenye ngeli hapa ndo intaneshno skuli au havard, wanajua ile lugha, wanamwaga yai wanatema matusi hataree ka kwenye movie..
Ngeli kwao si janga ka huku kwetu yes no watu wanakutolea mimacho, wao wanamwaga tena kwa kasi ukitoa macho hayupo hawamjui Ras simba
Raga sana, hata movie zao ni classic na wakianza kusimuliana we was acheche inabidi usepe utapata shida hebu imagine movie imetoka jana saa6usiku wao wanayo...au yametoka matrail wanayo...
Misosi sasa hapo ndo utafurah na roho yako, akinunua kiepe au kuku anagusa gusa maji kidogo hawazi, mi nikienda na mwantum viepe vinatujua...wale sio ka wanaume wa mikoani kula kilo2 za ugali mtu mmoja..ndo maana uchumi unashuka.
Basi bana ndo vurugu zao hapo ujasikiliza nyimbo zao hahaa unawezahisi wanataka kulala, unakuta wanaskiliza msanii wa Finland au Slovakia sijui Slovenia mi na ww hatuwajui kibaya zaidi unakuta anatumia mp4 ya ka m1 iv na hawazi...
Wao kulia sio mpaka msiba, wao kulia hata akijiskia analia ila analia kishua sio ka kaweka vuvuzela..
Upande wa nguo ka sio mvumilivu unaweza anza kulia kimoyo moyo maana sio kwa vinguo vyao AF brand ka gucci. Lv.d&g aisee kibegi simple laki7 mwanangu wa geto analipa semester pale chuo..
HAAA WAKISHUA RAHAAAA jazieni jazieni maana dah
Kama ilivyo ada wanajopo tupeane laini laini za ndugu zetu hawa"high price life"watoto wakishua..
Kiukweli ukitaka usiwe na stress jaribu kukaa nao hawa, wana-exposure sana anaweza kupa hela akasema "keep change" hawa wakishua wakike, hata prof jay ashaambia"keep change, unamawazo mengi, itakufariji wikend "hizo ndo depo zao...Mambo ya kuhongana hawajui
Tukija kwenye ngeli hapa ndo intaneshno skuli au havard, wanajua ile lugha, wanamwaga yai wanatema matusi hataree ka kwenye movie..
Ngeli kwao si janga ka huku kwetu yes no watu wanakutolea mimacho, wao wanamwaga tena kwa kasi ukitoa macho hayupo hawamjui Ras simba
Raga sana, hata movie zao ni classic na wakianza kusimuliana we was acheche inabidi usepe utapata shida hebu imagine movie imetoka jana saa6usiku wao wanayo...au yametoka matrail wanayo...
Misosi sasa hapo ndo utafurah na roho yako, akinunua kiepe au kuku anagusa gusa maji kidogo hawazi, mi nikienda na mwantum viepe vinatujua...wale sio ka wanaume wa mikoani kula kilo2 za ugali mtu mmoja..ndo maana uchumi unashuka.
Basi bana ndo vurugu zao hapo ujasikiliza nyimbo zao hahaa unawezahisi wanataka kulala, unakuta wanaskiliza msanii wa Finland au Slovakia sijui Slovenia mi na ww hatuwajui kibaya zaidi unakuta anatumia mp4 ya ka m1 iv na hawazi...
Wao kulia sio mpaka msiba, wao kulia hata akijiskia analia ila analia kishua sio ka kaweka vuvuzela..
Upande wa nguo ka sio mvumilivu unaweza anza kulia kimoyo moyo maana sio kwa vinguo vyao AF brand ka gucci. Lv.d&g aisee kibegi simple laki7 mwanangu wa geto analipa semester pale chuo..
HAAA WAKISHUA RAHAAAA jazieni jazieni maana dah