Vituko;- WAKENYA WATUA NCHINI TANZANIA KUDAI MAHINDI YAO


Kuna vitu vyakuleta masiala sio Hili sawa!!
Hivi unaijua njaa?
 
Kama bado unahistoria ebdelea hivyo hivyo
Watalii Ilikuwa history
Kwasasa Tanzania Inaichapa Kenya kwenye utalii mabari sana
 
basi tutanunua kwingine...nadhani mahindi ni bidhaa rahisi kupata..mbona nchi nyingi tu zinafanya kilimo ch mahindi....mahindi si kama dhahabu

Mlinunua Israel vipi yamefika wapi!
Watu Wanateseka wewe unakuja na porojo za kununua kwingine!!
Tanzania kufunga mipaka nipigo kwenu
hilo mkubari
 
Niliwahi kuandika humu wiki iliyopita kwamba Jpm akiziba utoroshaji mahindi Kwenda kenya watatafutana jamaa mmoja ,nadhani ni walewale alinitukana vibaya.Sasa narudi,Kenya zaidi ya nusu yake ni agriculturally unproductive
Wakiendeleza bifu na cc tukakaza uzi hakika wataangamia kwa njaa..
 
Na uzuri njaa haina Mbabe
 
tutanunua mahindi toka Ethiopia ama Mexico.....pesa zipo



Wee chizi Ethiopia Kuna mahindi ya kuitosheleza njaa ya mkenya???
Uzuri namba mtaisoma hats nyie manake Mkulu alipokuja nairobi mlimwimbia nyimbo za mapenzi sawa njaa zimewakomexha mnavamia nchi....
 

Siungi mkono mawazo yako
Hali ikiwa mbaya nyie ndie wakwanza kupiga kelele tena.
Wazuie tu naana Hali sio nzuri ya chakula
 
Wee chizi Ethiopia Kuna mahindi ya kuitosheleza njaa ya mkenya???
Uzuri namba mtaisoma hats nyie manake Mkulu alipokuja nairobi mlimwimbia nyimbo za mapenzi sawa njaa zimewakomexha mnavamia nchi....
Hali ya Chukula mwaka huu siyo nzuri
kuruhusu mahindi yatoke
italeta Taabu kwetu
 
Tunahitaji katiba bora. Yaani urafiki wa mtu mmoja unasababisha hasara ya taifa.
Shida ni Raila ashinde au?
Think twice , Uhuru na Chadema anasababisha wakenya wakoswe chakula kwa sababu ya Raila na Padlock?.
Tunaoumia ni wakulima wa Tz na walalahoi wa Kenya.
Mungu anawaona
 
Tatizo ni WAKENYA kuzuia gesi kutoka bongo na sisi ngoja tuzuie mahindi yetu
 
Hawatujui hawa mapimbi wawaulize qatar kibri chote kwisha wanataman hatawajiunge east africa community wale ugali wa tanzania zamu ya mapimbi sasa kupiga desh
 
Kweli Wanadamu nishida sana
wewe kinacho kusumbua nichuki tu
huna lazaidi
hali yachakula huioni!
Kesho muanze kupiga makelele kwa serikali tena njaa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…