Halafu tutalipa sisi. Maana wao hata makodi kodi tuluyojaziwa wana misamaha....Ndio vipaumbele hivyo haya mambo ni ngumu sana kuyasikia enzi za kidume toka Chato!
Ila ndio wananchi wanayopenda kuyaskia haya.,subirien kusikia hela watu wamegawana kwenye ma v8 kila mtu kakimbia na bil.10
Yeah af watu wanachekelea tuHalafu tutalipa sisi. Maana wao hata makodi kodi tuluyojaziwa wana misamaha....
Hali ya hewa inatishia Amani gani? Maelfu ya watu wameishi hapo Dom miaka na miaka kuna tishio gani la Amani wamelipata? Au shida gani ya kiafya wamekuwa nayo? Huu ni upuuzi wa Hali ya Juu,kwamba Ukikulia Dar basi unaona uko special Sana na maisha yako hayaendi bila AC? Serikali iache kuharibu pesa za umma kwa mambo ya kishenzi.Tangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......
Mbona Dsm kwenye joto miaka yote hawaanzishi hivyo vituo vya baridi?
Naona wanaendelea kutengeneza ma gap watupige tu.
Kwamba unaunga mkono kuwekwa AC yaani au?Aliyekuambia Hali ya hewa itakuja kubadilika nani!? Bora kula AC hao JKT HAWAJUI KUTAFUTA FEDHA!?
Chagua mkoa wenye hospitali nyingi ILI AKILI YA MWANADAMU IWE INAWAZA MAGONJWA TU
Aliyekuambia Hali ya hewa itakuja kubadilika nani!? Bora kula AC hao JKT HAWAJUI KUTAFUTA FEDHA!?
Chagua mkoa wenye hospitali nyingi ILI AKILI YA MWANADAMU IWE INAWAZA MAGONJWA TU
ONLINE HOSPITAL IMEANZA KAZI WANADAMU NUKSIAre you allright?
MWILI UKAWA BIAWaweke na ATM za beer baridiiiiii basi...
E - HOSPITAL TAYARI MAANA DAKTARI/MAGANGA YUPO KUPOKEA STORY ZA KUNITANDIKA MTAANI MAANA KUNA MWANAMKE ANAMPENDAHalafu tutalipa sisi. Maana wao hata makodi kodi tuluyojaziwa wana misamaha....
Hio pesa kama haina kazi ya kufanya ni bora ingetumika kupanda miti tu hapo Dodoma, na kauli mbiu iwe "Dodoma ya kijani"Tangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......
ONLINE HOSPITAL IMEANZA KAZI WANADAMU NUKSI
Kwamba serikali imesign USD10M bila mama kuwa na taarifa?🤔Usimhusishe mama na upuuzi huu,akiusikia ataufutilia mbali na Waziri mhusika ajitathmnini,,wizara gani hii?
Hizo pesa ndogo Sana sina uhakika kama anajua maana hapo ni bil.24 tuuKwamba serikali imesign USD10M bila mama kuwa na taarifa?🤔
Ni kama vision ya mtangulizi wake kujenga international airport nyumbani kwakeMama vision hiyo
Sina mpango wa kudedi mida ya karibuni. Nitadedi pale ntakapohakikisha hela yote imeishaUkifa familia yetu inarudi au utaiua!? Maana hata mie familia yangu naweza kukuachia bila fedha maana hatuna CHIMBUKO la neno KIFO
itakaukakila mwanchi wa Dodoma akiotesha miti 2-10 kwa mwaka ni mabadiliko chanya