Vituo 5 vya joto na baridi kujengwa jijini Dodoma

Sina mpango wa kudedi mida ya karibuni. Nitadedi pale ntakapohakikisha hela yote imeisha
Bora lifespan yako unaijua maana tunaangaika na kupanga bure..

Basi sawa hata mie sijui atapateje HELA ANAZOOTA KILA SIKU.... MAANA MAVI TU NDIO MFUMO WA MAISHA PAMBANA UTAJUA TU HUNA MAANA ZAIDI YA KUJIFRASH HAPA DUNIANI - SALAMU KWA WATENGENEZA HISTORIA KWOKOTE WALIPO DUNIANI
 
ITAKAUKA!? INATOSHA KULEA
 
ITAUKA KULEA INACHOSHA!?
 
hahahahahaha utafikiri nchi ni tajiri na imemaliza matatizo yote ya msingi au ndio kuupiga mwingi tulikoambiwa huku...
 
Hii nchi ina vipaumbele vya kuchekesha sana...

Hii hali ya hewa ndo imeanza mwaka huu? Kabla ya hapo ilileta madhara gani?
Watu Wamevimbiwa Wanatafuta Kupiga Kwa Hali Na Mali
Hawana Muhari Na Mtu, Yaani Kwa Uchumi Gani Tulionao Mpaka Tununue Machines Za Kupepeana
 
mkumbusheni huyo bado madarasa hatujajenga, bado hapo hapo dom watoto wanakaa chini mashuleni, bado hapo hapo dom watu wanakunywa maji na ng`ombe...

Mwenye shida na joto au baridi kwa sasa ajiwekee AC na heater nyumani kwake kwa sasa watanzania masikini hiko sio kipaumbele wakisikia baridi wanakoka moto tu majumbani, joto likizidi wanavua mashati na kujipepea tu....TUACHE ANASA BADO TUNA MENGI YA MSINGI...wenzetu mnaokwenda ulaya angalie vya kukopi Ulaya huko...
 
Hii kitu mbona sielewi hivi Dodoma imekuwapo leo ,na Kama sio tuelewesheni vizuri, Dodoma ipo na imekuwapo ina watu wanaishi,na wamekua wakiishi Sasa haya Ndo nini,Iyo pesa wekeza kwenye mradi wa maji Kama wa Arusha acheni tumia pesa vibaya ,anaetaka inarudi au joto akafanye mwenyewe kwake

Serikali acheni Mambo haya Bwana ,feni zipo
 
Tulikuwa tunaviongezea furaha kumbe vinataka kuwa VIGAIDI tunaacha....' AC
 
Iyo pesa bora chimba mfereji TOKA dar to Dom alisema mzee Ashim Ringwe mkamuona kichaa
 
Tulikuwa tunaviongezea furaha kumbe vinataka kuwa VIGAIDI tunaacha....' AC
Kwanza ni watu GANI watakua wanakaa kwenye hivyo vitu,tz tunamatatizo Sana ,nimeshangaa Sana yani,Dom yapo maitaji ya msingi MOJA ni maji ,mji unakua KWa Sana so maji yanatakiwa ya kutosha
 
Kwanza ni watu GANI watakua wanakaa kwenye hivyo vitu,tz tunamatatizo Sana ,nimeshangaa Sana yani,Dom yapo maitaji ya msingi MOJA ni maji ,mji unakua KWa Sana so maji yanatakiwa ya kutosha
USIPOKUWA MAKINI YAMSINGI YAMEISHA HUJUI HESABU TU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…