Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
- Thread starter
-
- #81
Bora lifespan yako unaijua maana tunaangaika na kupanga bure..Sina mpango wa kudedi mida ya karibuni. Nitadedi pale ntakapohakikisha hela yote imeisha
ITAKAUKA!? INATOSHA KULEATangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......
ITAUKA KULEA INACHOSHA!?Source,
Sehemu ndogo ya hiyo pesa ungewapa JKT ingetosha kupanda miti millioni kumi.
Hivyo kubadilisha hali ya hewa kwa muda mrefu ujao. Zoezi linakiwa liwe endelevu.
Kila nyumba, kila mtaa, kila sehemu zilizo wazi zinatakiwa kupandwa miti. Serikali inaweza kuhamasisha, kuelimisha na kutoa incentives kwa wananchi wote wa Dodoma.
Hizo AC gharama za repair and maintanance zitakuwa kubwa sana, hazitawafikia watu wengi na ni suluhisho la muda mfupi, kwa gharama kubwa.
Ndio mfumo wa maishaBlah blah blah
KUELEWA NI TATIZO VILE VILENi mimi tu ndo sijaelewa ama?.
Hii ni sauna ama ni kitu gani hasa?,
Tatizo kubwaKUELEWA NI TATIZO VILE VILE
TUMESAHAU MBINU ZILIZOTUMIKA TUNAANZA UPYA UTAELEWA ELEWATatizo kubwa
Hujaeleweka
Una picha labda?
Watu Wamevimbiwa Wanatafuta Kupiga Kwa Hali Na MaliHii nchi ina vipaumbele vya kuchekesha sana...
Hii hali ya hewa ndo imeanza mwaka huu? Kabla ya hapo ilileta madhara gani?
Drones Za Kuzima Moto Zilimtoa Kazini Yesu Wa Jiwe, Andengenye, Makamishna Wa FireTUMESAHAU MBINU ZILIZOTUMIKA TUNAANZA UPYA UTAELEWA ELEWA
Tulikuwa tunaviongezea furaha kumbe vinataka kuwa VIGAIDI tunaacha....'Drones Za Kuzima Moto Zilimtoa Kazini Yesu Wa Jiwe, Andengenye, Makamishna Wa Fire
Hii kitu mbona sielewi hivi Dodoma imekuwapo leo ,na Kama sio tuelewesheni vizuri, Dodoma ipo na imekuwapo ina watu wanaishi,na wamekua wakiishi Sasa haya Ndo nini,Iyo pesa wekeza kwenye mradi wa maji Kama wa Arusha acheni tumia pesa vibaya ,anaetaka inarudi au joto akafanye mwenyewe kwakeKutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:
Nkuhungu
22 S. Nkuhungu St.
Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa
Udom
1800 Udom St.
Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa
Mtumba
Mji wa Serikali 200 Mashariki
Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)
Idara ya Polisi Zimamoto
20 NHIF PLAZA
Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)
Chamwino
227 Chamwino St.
Masaa:
9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi
9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa
9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi
Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili
Tulikuwa tunaviongezea furaha kumbe vinataka kuwa VIGAIDI tunaacha....' ACHii kitu mbona sielewi hivi Dodoma imekuwapo leo ,na Kama sio tuelewesheni vizuri, Dodoma ipo na imekuwapo ina watu wanaishi,na wamekua wakiishi Sasa haya Ndo nini,Iyo pesa wekeza kwenye mradi wa maji Kama wa Arusha acheni tumia pesa vibaya ,anaetaka inarudi au joto akafanye mwenyewe kwake
Serikali acheni Mambo haya Bwana ,feni zipo
Iyo pesa bora chimba mfereji TOKA dar to Dom alisema mzee Ashim Ringwe mkamuona kichaaTangu Dodoma ipendekezwe kuwa makao makuu ilishajulikana hiyo sehemu ni kame, ak.a jangwa.......lakini zaidi ya miaka 60 kuwekeza kuboresha hali ya hewa hapo Dodoma kwa kupanda miti ya kutosha na kutengeneza bustani zenye mabwawa ya maji mjini imeshindikana. Kwa sababu mmeona hali ya hewa inatishia amani ndo mnakurupuka kwenda kuweka AC, sasa sijui hizo AC zitatupooza watu zaidi ya milioni moja kwa mkupuo, au tutakuwa tunaingia kwa zamu......
Kwanza ni watu GANI watakua wanakaa kwenye hivyo vitu,tz tunamatatizo Sana ,nimeshangaa Sana yani,Dom yapo maitaji ya msingi MOJA ni maji ,mji unakua KWa Sana so maji yanatakiwa ya kutoshaTulikuwa tunaviongezea furaha kumbe vinataka kuwa VIGAIDI tunaacha....' AC
hAPO VIWAZE ugaidi tu hakuna kaziIyo pesa bora chimba mfereji TOKA dar to Dom alisema mzee Ashim Ringwe mkamuona kichaa
USIPOKUWA MAKINI YAMSINGI YAMEISHA HUJUI HESABU TUKwanza ni watu GANI watakua wanakaa kwenye hivyo vitu,tz tunamatatizo Sana ,nimeshangaa Sana yani,Dom yapo maitaji ya msingi MOJA ni maji ,mji unakua KWa Sana so maji yanatakiwa ya kutosha