KWa Iyo wewe wakuja unaifaham dom kuliko wazawa ACHA izo mkuuUSIPOKUWA MAKINI YAMSINGI YAMEISHA HUJUI HESABU TU
Hapo hata mie UKAME UENDELEE haiwezekani VITU VYA LOWASA VISEME UONGO HUO UCHAWI NDIO UNAOTAKIWA!?Kama ni kweli tujiandae utapeli mbeleni zitaletwa zile mvua za kutengenezwa za Thailand alizotaka kuleta Lowasa tunaandiliwa kisaikolojia
Ni afadhali hiyo pesa wangepanda miti mingi kila Kona au heri wangechukua hata wazo la mzee Rungwe aliyesema chama chake kikishinda uchaguzi atachimba mtaro mkubwa toka baharini dar na kuupeleka Dodoma ili Dodoma iwe na beach na upepo mwanana wa bahari na watu waweze kusafiri kwa boat kiutalii toka Dar Hadi Dodoma
Anyway huo mradi Kama ni kweli ni too luxurious Kama ni private sector itaendesha kwa kuchaji pesa ni sawa lakini Kama ni serikali sio sahihi Kuna mengi ya kufanya
Wawaze UGAIDI TU KUMBE KUNA VITA YA WENYEJI NA WAGENI WAENDELEE TU MAANA SIO KAZI WASISAHAU KUZAA WATOTOKWa Iyo wewe wakuja unaifaham dom kuliko wazawa ACHA izo mkuu
Hivi UMEELEWA mkuu alichoandika?Hapo hata mie UKAME UENDELEE haiwezekani VITU VYA LOWASA VISEME UONGO HUO UCHAWI NDIO UNAOTAKIWA!?
Wewe unadhani unaeleweka au!? Tunamaliza bado tu mkuu sio kaziHivi UMEELEWA mkuu alichoandika?
Ebo Mambo ya dar sie dom hatujayazoea ya kua legelege,Wawaze UGAIDI TU KUMBE KUNA VITA YA WENYEJI NA WAGENI WAENDELEE TU MAANA SIO KAZI WASISAHAU KUZAA WATOTO
Kaa KWa UTULIVU mkuu, hoja hujibiwa KWa hoja sio mipashoWewe unadhani unaeleweka au!? Tunamaliza bado tu mkuu sio kazi
Bora saizi itakuwa BONGO FREVA... LEGE HAMJI KUIWEZA... TUMEFANYA UTAFITI TUNAACHAEbo Mambo ya dar sie dom hatujayazoea ya kua legelege,
HOJA KWA HOJAKaa KWa UTULIVU mkuu, hoja hujibiwa KWa hoja sio mipasho
Sijakuelewa vizuri...Kutokana na hali ya hewa ya Dodoma kuwa ya Kitropical Serikali imeamua kusaini dola za Marekani Milion 10 kwa ajili ya kuazisha vituo 5 maalumu vya Joto na Baridi. Vituo hovyo vitatumika wakati hali ya hewa ya kupita kiasi itakapotokea Jiji Dodoma ambapo vitafunguliwa vituo vyake vya Joto na Baridi kwa wakaazi kupumzika kutoka kwa hali ya hewa. Vituo vya Joto na Baridi huko Dodoma vinapatikana katika maeneo yafuatayo:
Nkuhungu
22 S. Nkuhungu St.
Masaa: 8 asubuhi hadi 5 jioni Jumatatu hadi Ijumaa
Udom
1800 Udom St.
Masaa: 7 asubuhi hadi 4 jioni Jumatatu hadi Ijumaa
Mtumba
Mji wa Serikali 200 Mashariki
Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)
Idara ya Polisi Zimamoto
20 NHIF PLAZA
Masaa 24 (hakuna vifaa vya kulala)
Chamwino
227 Chamwino St.
Masaa:
9 asubuhi hadi 9 jioni Jumatatu hadi Alhamisi
9 asubuhi hadi 6 jioni Ijumaa
9 asubuhi hadi 5 jioni Jumamosi
Adhuhuri hadi saa 5 asubuhi. Jumapili
Bora saizi itakuwa BONGO FREVA... LEGE HAMJI KUIWEZA... TUMEFANYA UTAFITI TUNAACHA
MILELE HATA MIE SIJAKUELEWA SIWEZI KUKAA JF KWA AJILI YA KUPROMOTE ELIMU ZA WATU HUKO WASIO NA HELA.... RESEARCH IMEISHASijakuelewa vizuri...
Tutamtafuta SUB LABDA ANA KUMAA NZURI SAIZI YA UTUSubutu, vituo vya joto na baridi mjengewe huko dar, sie huku tuko ngangari yani
Waache upotevu huu wa fedha za umma. Hizo bilioni 20 na ushee zitumike kujenga barabara na madaraja vijijini! CCM iache ulevi!!!Kwa maana hio AC za umma zitafungwa ili kupepelea mafisadi watakaokuwa Dodoma?
Mbona umepagawa na mradi wa vituo vya joto na baridi mkuu, vipi mkandarasi amekwambia una percent ngapi? mkajengewe dar hukoHOJA KWA HOJA
UELEWEKI KWA UELEWEKI
WAKIWEKA NENO MOJA YOTE NAWE HIVYO HIVYO
UTAPELEKA WEWE TUMEMALIZAPelekeni joto Makete, Mafinga na Makambako...yaani June ngoma inasomaga -3°C.
Bora kulewa kweli wanaofanya hizo kazi hawana kazi nyingine....!Waache upotevu huu wa fedha za umma. Hizo bilioni 20 na ushee zitumike kujenga barabara na madaraja vijijini! CCM iache ulevi!!!
Navikiri umevamia kambi mie sio mtu wa matusi , so jiheshimTutamtafuta SUB LABDA ANA KUMAA NZURI SAIZI YA UTU