Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo Songea hujioneeeKama wapi mfano lita ni 3000?!
Kuna biashara inasajiliwa bila jina?Vitakuwa havina majina,lakini vinaitwa sheli za mafuta.
Ana haki kupewa cha kati kanakera sana haka kajamaa yaani kana kiherehere vibaya mno!Ni kidole cha kati au?
You're so bright ila muda mwingine sijui huwa unapatwa na nini!Hapana
😆😆😆 Basi katika watu nawaonea hurumabhumu ni wewe!...inaonekana unajitambua Ila sijui Hilo Shina Nan kakuweka! Wewe wa kuwa level moja na kawe kweli??You're so bright ila muda mwingine sijui huwa unapatwa na nini!
Tumelingana wapi,kwenye mnayoyaita mapambio?😆😆😆 Basi katika watu nawaonea hurumabhumu ni wewe!...inaonekana unajitambua Ila sijui Hilo Shina Nan kakuweka! Wewe wa kuwa level moja na kawe kweli??
Ee😉Tumelingana wapi,kwenye mnayoyaita mapambio?
Hapana mimi huwa natoa pongezi panapo stahili.Nafahamu pia kuna weakness ila sipendi kuziongelea maana nipo optimistic zaidi. BTW wewe ni chama gani?
Hivyo vituo mbona havijatajwa?
Kwa kuwa havijafungiwa kuuza mafuta bali ni kama wamerudishia milango tu mafuta yauzwe kupitia dirisha dogo. Mafuta ni nishati sio upepo.Hivyo vituo mbona havijatajwa?
Zamani nilikua Chadema kindakindaki...yaan wale wakujipaka had rangi usoni za chama ...nilipokua mjasiriamali mzoefu Kuna mtu akaning'ata sikio...Sina chama Tena .nafanya yangu! Ingawa sisifu Wala kuabuduHapana mimi huwa natoa pongezi panapo stahili.Nafahamu pia kuna weakness ila sipendi kuziongelea maana nipo optimistic zaidi. BTW wewe ni chama gani?
Hata nami nilikuwa CDM.Maana vijana wengi walianza kuikubali kipindi hicho inaanza kuwa ng'ang'ari.Baadaye nikajikataa nikahamia CCM maana nilipata tetesi mama kaipigia kura CCM kipindi hicho.Nilivyojitambua nikawa dilemma sema nikawa upande wa serikali zaidi.Majukumu yakanizidi maana field niliyopo ukiendekeza siasa hutoboi ikizingatia ninafaa nisome vitu vipya kila siku.Nikajitoa kwenye mavyama.Sina chama sasa! Nimebaki kuangalia mambo ya serikali tu.Zamani nilikua Chadema kindakindaki...yaan wale wakujipaka had rangi usoni za chama ...nilipokua mjasiriamali mzoefu Kuna mtu akaning'ata sikio...Sina chama Tena .nafanya yangu! Ingawa sisifu Wala kuabudu
Za Lumumba mkuuKuna biashara inasajiliwa bila jina?
.Hata nami nilikuwa CDM.Maana vijana wengi walianza kuikubali kipindi hicho inaanza kuwa ng'ang'ari.Baadaye nikajikataa nikahamia CCM maana nilipata tetesi mama kaipigia kura CCM kipindi hicho.Nilivyojitambua nikawa dilemma sema nikawa upande wa serikali zaidi.Majukumu yakanizidi maana field niliyopo ukiendekeza siasa hutoboi ikizingatia ninafaa nisome vitu vipya kila siku.Nikajitoa kwenye mavyama.Sina chama sasa! Nimebaki kuangalia mambo ya serikali tu.
Asante na wewe pia mkuu..
Safi...all the best
Khaluaa ishatembezwa hapo .biashara inaendelea Kama kawaida.Hivyo vituo mbona havijatajwa?