Vituo vitano vyafungiwa, vyafutiwa leseni kwa kuuza mafuta juu ya bei elekezi

Vituo vitano vyafungiwa, vyafutiwa leseni kwa kuuza mafuta juu ya bei elekezi

Alivitaja vituo hivyo kuwa ni...
1. Caltex
2. Shell
3. Oilpil
4. BP
5. ...
 
[emoji867]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna siku niliingia victoria nikaambiwa petroli imeisha, wakati siku zote mafuta huwa hayakauki hapo. Nikaona isiwe tabu nikaenda Total. Nashauri safari nyingine ewura waje na bei ya buku ili wafiche vizuri mafuta..
Tena ingewezekana bei iendelee kushuka mpaka 800 kwa mwaka mzima.

Hao wanaoficha mafuta wafunge bisahara kabisa.
 
Tuilaumu serikali kuhusu bei elekezi ila sio hili la mafuta. Hapa tunahujumiwa mojakwamoja na wafanyabiashara. Subirini bei ikipanda, yatakuwepo mengi sana
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imevifutia leseni za uuzaji wa mafuta vituo vitano, kwa makosa ya kuficha, kutouza na kuuza mafuta juu ya bei elekezi huku ikotoa onyo kali kwa wauzaji wa nishati hiyo wanaojaribu kufanya hujuma na kukiuka maagizo ya Serikali.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Ewura, Titus Kaguo, alisema uamuzi huo umechukuliwa baada ya tathmini ya kina iliyowawezesha kubaini kuwa kuna sababu za makusudi kwa wauzaji hao kuhujumu uuzaji wa mafuta.

Alisema katika uchunguzi wa awali uliofanywa na Ewura, kuna dalili za wauzaji wa mafuta kufanya hujuma kwa kuwanyima wananchi mafuta kwa makusudi na kutoa onyo kwa waauzaji wote kutofanya hujuma ambazo zitawaingiza katika uhujumu uchumi.
Mbona vituo hivyo havitajwi?
 
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imevifutia leseni za uuzaji wa mafuta vituo vitano, kwa makosa ya kuficha, kutouza na kuuza mafuta juu ya bei elekezi huku ikotoa onyo kali kwa wauzaji wa nishati hiyo wanaojaribu kufanya hujuma na kukiuka maagizo ya Serikali.

Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Ewura, Titus Kaguo, alisema uamuzi huo umechukuliwa baada ya tathmini ya kina iliyowawezesha kubaini kuwa kuna sababu za makusudi kwa wauzaji hao kuhujumu uuzaji wa mafuta.

Alisema katika uchunguzi wa awali uliofanywa na Ewura, kuna dalili za wauzaji wa mafuta kufanya hujuma kwa kuwanyima wananchi mafuta kwa makusudi na kutoa onyo kwa waauzaji wote kutofanya hujuma ambazo zitawaingiza katika uhujumu uchumi.
EWURA waende huko Dodoma. Nimekuta vituo karibu vyote, isipokuwa vya PUMA, haviuzi mafuta kwa kisingizio kuwa mafuta yamekwisha!
 
Kuna sheri ya lake oil ipo pale tabata relini mataa ya kuingia tabata pale, huwa kila siku wanadai hawana mafuta nahisi wapo katika kundi hili la wahujumu..... Inatia hasira sana....
Kuna Sheri ya lake oil SAY WHAAAT!!! sema dah/dar dar es Salaam DSM ungeandika kingereza tu Mkulungwa doh!
 
Back
Top Bottom