Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifua mbele bila fedha. Bado tuko katika dimbwi la umaskini mkubwa sanaHii serikali inawafanya Watanzania watembee kifua mbele
Pamoja na comment hii, ungetafuta comments zangu za siku za nyuma ili upate kuujua ukweli wanguZa Lumumba mkuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji867]
Umeanza lini hii tabia
Kisumapai anauza sh ngapi mkuu huko?Mbona hawaji Songea mpaka sasa tunauziwa 2224 au huku sio Tanzania
Samahani bro!Umeanza lini hii tabia
Wote bei sawa 2224Kisumapai anauza sh ngapi mkuu huko?
Tena ingewezekana bei iendelee kushuka mpaka 800 kwa mwaka mzima.Kuna siku niliingia victoria nikaambiwa petroli imeisha, wakati siku zote mafuta huwa hayakauki hapo. Nikaona isiwe tabu nikaenda Total. Nashauri safari nyingine ewura waje na bei ya buku ili wafiche vizuri mafuta..
Huko mvumilie nchi ilishatutenga hiiMbona hawaji Songea mpaka sasa tunauziwa 2224 au huku sio Tanzania
Wote bei sawa 2224
Mbona vituo hivyo havitajwi?Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imevifutia leseni za uuzaji wa mafuta vituo vitano, kwa makosa ya kuficha, kutouza na kuuza mafuta juu ya bei elekezi huku ikotoa onyo kali kwa wauzaji wa nishati hiyo wanaojaribu kufanya hujuma na kukiuka maagizo ya Serikali.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Ewura, Titus Kaguo, alisema uamuzi huo umechukuliwa baada ya tathmini ya kina iliyowawezesha kubaini kuwa kuna sababu za makusudi kwa wauzaji hao kuhujumu uuzaji wa mafuta.
Alisema katika uchunguzi wa awali uliofanywa na Ewura, kuna dalili za wauzaji wa mafuta kufanya hujuma kwa kuwanyima wananchi mafuta kwa makusudi na kutoa onyo kwa waauzaji wote kutofanya hujuma ambazo zitawaingiza katika uhujumu uchumi.
Hapo sasaTaarifa haiwezi kukamilika bila kutaja hivyo vituo vya mafuta
EWURA waende huko Dodoma. Nimekuta vituo karibu vyote, isipokuwa vya PUMA, haviuzi mafuta kwa kisingizio kuwa mafuta yamekwisha!Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imevifutia leseni za uuzaji wa mafuta vituo vitano, kwa makosa ya kuficha, kutouza na kuuza mafuta juu ya bei elekezi huku ikotoa onyo kali kwa wauzaji wa nishati hiyo wanaojaribu kufanya hujuma na kukiuka maagizo ya Serikali.
Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Ewura, Titus Kaguo, alisema uamuzi huo umechukuliwa baada ya tathmini ya kina iliyowawezesha kubaini kuwa kuna sababu za makusudi kwa wauzaji hao kuhujumu uuzaji wa mafuta.
Alisema katika uchunguzi wa awali uliofanywa na Ewura, kuna dalili za wauzaji wa mafuta kufanya hujuma kwa kuwanyima wananchi mafuta kwa makusudi na kutoa onyo kwa waauzaji wote kutofanya hujuma ambazo zitawaingiza katika uhujumu uchumi.
Kuna Sheri ya lake oil SAY WHAAAT!!! sema dah/dar dar es Salaam DSM ungeandika kingereza tu Mkulungwa doh!Kuna sheri ya lake oil ipo pale tabata relini mataa ya kuingia tabata pale, huwa kila siku wanadai hawana mafuta nahisi wapo katika kundi hili la wahujumu..... Inatia hasira sana....
Inauma sio kidogoHuko mvumilie nchi ilishatutenga hii
Nimetoka juzi tu nilkuwa najiona nipo nchi mbili tofautipoleni sana ,huku Dsm ni mwendo wa buku jero
Nimetoka juzi tu nilkuwa najiona nipo nchi mbili tofauti