Oii
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 3,930
- 3,128
Mtapata tabu sana awamu hii[emoji867]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtapata tabu sana awamu hii[emoji867]
Hongera sana inaonekana hujakutana na hii adhaKama wapi mfano lita ni 3000?!
[emoji23][emoji23][emoji23] wote tuimbe hallelujah sioTena ingewezekana bei iendelee kushuka mpaka 800 kwa mwaka mzima.
Hao wanaoficha mafuta wafunge bisahara kabisa.
Wawalazimishe wauze?? hua mnafikiria kwa kutumia nn? wakishawafungia ndio mtapata mafuta?? kuna mambo hayahitaj nguvu, kama hukujifunza kwenye sukari, korosho, mbaazi , mahindi, huji jifunza sehem nyingineEWURA waende huko Dodoma. Nimekuta vituo karibu vyote, isipokuwa vya PUMA, haviuzi mafuta kwa kisingizio kuwa mafuta yamekwisha!
Alivitaja vituo hivyo kuwa ni...
1. Caltex
2. Shell
3. Oilpil
4. BP
5. ...
Wanasubili bei mpya itangazwe kesho au keshokitwa ndipo wauze.Kuna kituo kiko pale barabara ya SAM NUJOMA njia ya kuelekea Sinza- Makaburini, kimepakana na jengo reefu kabisa katika njia hiyo ya SAM NUJOMA ilikuwa Jumapili trh 28/06/2020 Saa 12 jioni hivi, hawakuwa na mafuta sasa sijui shida ni hiyo inayosemwa humu au ilikuwa shida nyingine!
Sto
Story ina upungufu. Sometimes haina haja ya kupost story inayoacha maswali mengi kwa wasomaji kuliko majibu
🤣🤣🤣🤣Tumewaza kitu kimoja🤣🤣🤣Hivyo vituo mbona havijatajwa?