Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani aliipa sekta ya afya kipaumbele maana anajua afya ndio msingi wa Maendeleo hivyo amejenga na kuboresha vituo vya afya maana aliahidi kusogeza huduma ya afya karibu na wananchi.
Rais Samia Suluhu Hassan ameimarisha utaoaji wa huduma za afya katika Halmashauri ya Wanging’ombe ambapo amewezesha Ujenzi wa vituo vya afya sita katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wake vituo hivyo ni Saja, Usuka, Ilembula na Imalinyi vimeshakamilika na ujenzi wa vituo Vya afya Vya Wangama na Igima vinaendelea na Ujenzi kukamilika kwa vituo hivyo vimesaidia kusogeza huduma za afya kwa Wananchi na kupunguza gharama za kufuata huduma za afya mbali.
Huu ni muonekano wa vituo vya afya vilivyokamilika chini ya Rais Samia Suluhu
Rais Samia Suluhu Hassan ameimarisha utaoaji wa huduma za afya katika Halmashauri ya Wanging’ombe ambapo amewezesha Ujenzi wa vituo vya afya sita katika kipindi cha miaka miwili ya utawala wake vituo hivyo ni Saja, Usuka, Ilembula na Imalinyi vimeshakamilika na ujenzi wa vituo Vya afya Vya Wangama na Igima vinaendelea na Ujenzi kukamilika kwa vituo hivyo vimesaidia kusogeza huduma za afya kwa Wananchi na kupunguza gharama za kufuata huduma za afya mbali.
Huu ni muonekano wa vituo vya afya vilivyokamilika chini ya Rais Samia Suluhu