Vituo vya habari vyapigwa rungu na TCRA kwa kurusha maudhui katika muda ambao watoto hawapaswi kuangalia ama kusikiliza

Inama nipachike rungu, papasa kichwa nisafishe mtaro!

Kongole Wasafi.
 
Mbona hotuba Q
Mbona hotuba za JPM zina mambo mengi yasio faa kusemwa hadharani
 
hela ya uchaguzi/kampeni inavyotafutwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa kinacho tengenezwa ni Hofu na ikisha enea zaidi ya hapa kuelekea Uchaguzi Mkuu wimbo ni mmoja tu ,Taasisi ni Mhimili wa Serikali na hao Watu (Viongozi wa Taasisi) wana tokana na alie juu.

Nje ya hapo ni kweli pana Matangazo megine ambayo huwekwa sio ya Staha na haya zingatii Muda, yani linawekwa Tangazo upo na Madogo kwenye Usafiri mpaka unaangalia chini kwa Aibu.Ni vyema kujenga Taifa la Watoto wetu wenye Maadili labda Siku Moja atatoka Mtawala ambae atakuja kuwa kamata
Watawala wa Sasa wanao vunja Sheria.
 
redio ya Clouds FM kuzungumzia supu ya pweza kuimarisha tendo la ndoa
HUYO MUANDAAJI WA KIPINDI AFIKISHWE MAHAKAMANI TAFADHALI SANA TUMEOMBA.

PIA SERIKALI TUNAIOMBA IONGEZE VIWANGO VYA FAINI ILI IWE FUNDISHO KWA REDIO NYINGINE. TUNAZITAKA REDIO STATIONS ZOTE ZIFUATE MAADILI YA KITANZANIA NA SIO KIMAGHARIBI.
 
25 May 2018

Maudhui Mitandaoni Sheria ya Mwaka 2018

TCRA watoa leseni kwa Blogs na Online TV, waeleza sababu kuu 3

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekabidhi leseni za kufanya huduma ya kutoa habari kwa njia ya mtandao kwa Blogs, Online TV na Online Redio ambazo zimekamilisha usajili.


Bongo5 na Michuzi pamoja na Lemutuz ni moja kati ya Blogs na Online TV ambazo zimekabidhiwa leseni ya kufanya huduma hizo huku baadhi ya blogs kama Muungwana, Millardayo, Mwanaharakati na nyingine nyingi zikipewa leseni ya kurusha matangazo kupitia blogs pekee.


Source : Bongo5

 
HUYO MUANDAAJI WA KIPINDI AFIKISHWE MAHAKAMANI TAFADHALI SANA TUMEOMBA.

PIA SERIKALI TUNAIOMBA IONGEZE VIWANGO VYA FAINI ILI IWE FUNDISHO KWA REDIO NYINGINE. TUNAZITAKA REDIO STATIONS ZOTE ZIFUATE MAADILI YA KITANZANIA NA SIO KIMAGHARIBI.

Acheni double standards!

Supu ya pweza eti ni uvunjifu wa maadili, wakati huo matangazo ya tiba mbadala za nguvu za kiume kila pale.

Kuna kipindi nakumbuka mamlaka zilipublish dawa fulani kuwa inafaa!!
 
Uamuzi wa shauri la Ukiukaji wa Kanuni za Utangazaji dhidi ya Vituo vya Clouds Fm, East Africa Radio, Duma Tv, Global Tv, Sibuka Tv na Star Tv



 
3: Kituo cha #EastAfricaRedio kimekutwa na hatia ya kurusha maudhui yenye kukashifu utendaji wa Serikali katika uteuzi wa mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za Serikali (CAG) na kupewa onyo kali pamoja na kutozwa faini ya Shilingi milioni 3.
Mteule huyo, kama ilivyo kwa mteuaji, ni marufuku kumuongelea vibaya, sifia tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…