Vituo vya utangazaji vyatakiwa kuomba kibali TCRA kurusha matangazo ya Vyombo vya Habari vya Nje

Team ya kampeni ya Lissu inaongozwa na

1. TCRA
2. Polisi
3. Ofisi ya Mashtaka
4. Ndugai
5. Magufuli
6. Sirro

Hawa ndo watu na taasisi wanaoongeza kura na mashabiki kwa Tundu Lissu.

Kwa matendo yao dhidi ya Lissu , Lissu anaweza hata asipige kampeni ila akashinda vibaya sana uchaguzi wa mwaka huu!!
 
Yaan umaskini wa akili ni umaskini.mnaya sana
 
Naishangaa sana corona kumuacha mtu kama huyu mpaka mida hii maana anatutungia sheria ambazo zitafanya wajukuu wetu kutushangaa tuliwezawezaje kukubali kutawaliwa
Safi Sana TCRA, mnalitendea mema taifa letu👏👏👏! Mungu azidi kutulinda Tz!
 
Baadaye tutaambiwa ili kuongea au kuhojiwa na chombo cha habari cha nje unatakiwa pia uombe kibali.
 
Sheria kandamizi hizi pascal Mayala upo naamini kuna malice cyo bure
 
Watasikika bila kutaka wasikike.Ni swala la frequence, washirika kuna hadi online radio. Dunia inakimbia kwa kasi ni swala la wewe na mahitaji yako tu.
kwani Radio Free Africa inasikika UK na Ujerumani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…