amarina
Member
- Jan 5, 2025
- 69
- 140
FafanuaMjinga hawezi kukuelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaMjinga hawezi kukuelewa
Hujui hata kama umefanya logical fallacy ya non-sequitur.Wewe siwez kubishana na wewe sababu sio kwangu tu pia nakuonaga ata kwenye post za watu wengine Kaz Yako kubwa ni kupinga tu bila mashiko ujuaji mwingi mbele giza ,siku njema
Watu wanaandika pumba halafu wanataka ziwe facts.Aaaaah huo ni uongoo BWANA 😎 😎 😎
Na roho ya binadamu pia energyYeah Mungu ni nishati
Na ana bahati humu hatuna VOICE NOTE angeyakanyaga 🤣🤣🤣🤣🤣Watu wanaandika pumba halafu wanataka ziwe facts.
Eleza kile unachokifahamu ndugu yangu!Aaaaah huo ni uongoo BWANA 😎 😎 😎
Roho ni nishati pia, unajua hilo?Kila kiumbe kimetokana na atom yenye nishati?!
Sahihi nini sasa hapo 😁😁😁Sahihi
Roho inaniuma sana nimeachwa na Mbaga JrSahihi nini sasa hapo 😁😁😁
Mbaga jr 😁😁😁😁😁Roho inaniuma sana nimeachwa na Mbaga Jr
Mbunye ndo chanzo cha yote hayaMbaga jr 😁😁😁😁😁
Kwahyo Infropreneur ana ushetani au unataka kumchokozaUnaamini uchawi upo Lkn hauamini Mungu yupo ni Sawa na kuamini shetani yupo alafu Mungu hayupo..
Ukipataga shida ndo unaomba hizo nishati zikusaidie? Ukiwa kwenye hofu unaomba nishati iwe upande wako?
Mungu yupo acheni ushetani
😁Kwahyo Infropreneur ana ushetani au unataka kumchokoza
Kumaanisha niniRoho ni nishati pia, unajua hilo?
Usiamini bintiNa roho ya binadamu pia energy
Hii bora iwe typing error, la sivyo bora ungeniita hata kuku, bata, mbuzi wa kafara kuliko ulivyoniita 😞😞😞Usiamini binti
We sio Binti kwahivyoHii bora iwe typing error, la sivyo bora ungeniita hata kuku, bata, mbuzi wa kafara kuliko ulivyoniita 😞😞😞
Siyo kabisaWe sio Binti kwahivyo