FafanuaMjinga hawezi kukuelewa
Hujui hata kama umefanya logical fallacy ya non-sequitur.Wewe siwez kubishana na wewe sababu sio kwangu tu pia nakuonaga ata kwenye post za watu wengine Kaz Yako kubwa ni kupinga tu bila mashiko ujuaji mwingi mbele giza ,siku njema
Watu wanaandika pumba halafu wanataka ziwe facts.Aaaaah huo ni uongoo BWANA π π π
Na roho ya binadamu pia energyYeah Mungu ni nishati
Na ana bahati humu hatuna VOICE NOTE angeyakanyaga π€£π€£π€£π€£π€£Watu wanaandika pumba halafu wanataka ziwe facts.
Eleza kile unachokifahamu ndugu yangu!Aaaaah huo ni uongoo BWANA π π π
Roho ni nishati pia, unajua hilo?Kila kiumbe kimetokana na atom yenye nishati?!
Sahihi nini sasa hapo πππSahihi
Roho inaniuma sana nimeachwa na Mbaga JrSahihi nini sasa hapo πππ
Mbaga jr πππππRoho inaniuma sana nimeachwa na Mbaga Jr
Mbunye ndo chanzo cha yote hayaMbaga jr πππππ
Kwahyo Infropreneur ana ushetani au unataka kumchokozaUnaamini uchawi upo Lkn hauamini Mungu yupo ni Sawa na kuamini shetani yupo alafu Mungu hayupo..
Ukipataga shida ndo unaomba hizo nishati zikusaidie? Ukiwa kwenye hofu unaomba nishati iwe upande wako?
Mungu yupo acheni ushetani
πKwahyo Infropreneur ana ushetani au unataka kumchokoza
Kumaanisha niniRoho ni nishati pia, unajua hilo?
Usiamini bintiNa roho ya binadamu pia energy
Hii bora iwe typing error, la sivyo bora ungeniita hata kuku, bata, mbuzi wa kafara kuliko ulivyoniita πππUsiamini binti
We sio Binti kwahivyoHii bora iwe typing error, la sivyo bora ungeniita hata kuku, bata, mbuzi wa kafara kuliko ulivyoniita πππ
Siyo kabisaWe sio Binti kwahivyo