Viumbe vyote chanzo chake ni nishati

Wewe siwez kubishana na wewe sababu sio kwangu tu pia nakuonaga ata kwenye post za watu wengine Kaz Yako kubwa ni kupinga tu bila mashiko ujuaji mwingi mbele giza ,siku njema
Hujui hata kama umefanya logical fallacy ya non-sequitur.

Halafu unajiona kwamba unajua.

Kumbe una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote kuunda hitimisho potofu.

Kajielimishe kwanza sio kuandika vitu visivyo na mantiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…