Qashy Lilith
JF-Expert Member
- Aug 30, 2024
- 1,508
- 2,965
Tupia picha kwa faida yangu niaminiSiyo kabisa
Privacy policy, na kwa nini unadhani kama mimi ni bin....π€π€Tupia picha kwa faida yangu niamini
Aya mamaπPrivacy policy, na kwa nini unadhani kama mimi ni bin....π€π€
Unajua nini sitaki hata kujua
haya shauri yako unachokitafuta utakipata πππAya mamaπ
,π€£π€£π€£π€£π€£haya shauri yako unachokitafuta utakipata πππ
Viumbe vyote chanzo chake ni nishati/nguvu/energy/roho iliyounda chembechembe, chembe zikaunda ulimwengu na ndani ya ulimwengu zikaunda viumbe, kiumbe imetokana na atom yenye nishati/nguvu/energy/roho ambayo kwenye dini huiita mungu, nguvu hiyo iko kila mahali na ndani ya kila kitu yaani atom ikawa molecule ikajiunga ikawa organile ikajiunga ikawa cell/kiini ikajiunga ikawa tissue, ikajiunga ikawa organ/kiungo hatimae organism au kiumbe, hiyo ndio asili ya vitu vyote ndio mungu mwenyewe, nishati ndio alpha/mwanzo au asili, nishati/jua ndie mungu...View attachment 3192991
Kuna viumbe vya kiroho na kimwili. Na kuna tusivyovijua kabisa na hatutavijua kabisa. Unazungumzia vipiViumbe vyote chanzo chake ni nishati/nguvu/energy/roho iliyounda chembechembe, chembe zikaunda ulimwengu na ndani ya ulimwengu zikaunda viumbe, kiumbe imetokana na atom yenye nishati/nguvu/energy/roho ambayo kwenye dini huiita mungu, nguvu hiyo iko kila mahali na ndani ya kila kitu yaani atom ikawa molecule ikajiunga ikawa organile ikajiunga ikawa cell/kiini ikajiunga ikawa tissue, ikajiunga ikawa organ/kiungo hatimae organism au kiumbe, hiyo ndio asili ya vitu vyote ndio mungu mwenyewe, nishati ndio alpha/mwanzo au asili, nishati/jua ndie mungu...View attachment 3192991
Kabisa mkuu ππ½ππ½Mjinga hawezi kukuelewa
Swali dogo tu,unajua Mungu ni nani na yupo wapi tuanzie apo kwanzaπ€Kiongozi,
Yaani umesoma katopiki kamoja ka Biology (Classification) kamekuchanganya hata unashindwa kuchanganua mambo?
Huwezi kujudge uwezo wa Mungu kirahisi rahisi hivyo
Kama una maarifa hata ukifikiria ufanyaji kazi wa mwili wako ni ushuhuda tosha wa uwepo wa Mungu mmoja, mwenye mamlaka yote juu ya vilivyopo Duniani na vilivyopo Mbinguni
Mjinga hawez kuelewa alafu nilisha kujibu siwez kubishana na wewe mkuu mbona unani fosiπ€£π€£π€£Hujui hata kama umefanya logical fallacy ya non-sequitur.
Halafu unajiona kwamba unajua.
Kumbe una unganisha vitu viwili tofauti visivyo na uhusiano wowote kuunda hitimisho potofu.
Kajielimishe kwanza sio kuandika vitu visivyo na mantiki.
Sema mbunyetooooo π€£π€£Mbunye ndo chanzo cha yote haya
Yeah ipo ivyo ivi unajua ata mchungaj anapo kuombea sio yeye anaye kuponya?Ukipataga shida ndo unaomba hizo nishati zikusaidie?
ππ½ππ½ππ½ππ½ Watu n wavivu kutafuta maarifa alafu wanasogezewa maalifa wanaleta ujuaji mwingi mkuu,apo ndo tunapo feliambaye hajamuelewa mleta mada atafute YouTube clips za Bob Proctor, Neville Goddard, Joseph Murphy atapata mwangaza
Mbunyetooo π€£π€£Sema mbunyetooooo π€£π€£
Alafu ile ingine inaitwa mbung'o au vinyanya mshenzi πππMbunyetooo π€£π€£