Ulikuwa nalo tayari kichwani muda huo...Kuna kipindi nilikuwa natamani nikutane na jini la kike nilitongoze
Dah utoto Raha aisee
UNAWEZA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU ANASHIRIKIANA NA BINADAMU
Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waaminiView attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill[emoji119][emoji119] siment sijui yametumia ya dangote au faru [emoji23] Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Tupiamo kapicha tuone majini yakijenga msikiti[emoji2957][emoji2957][emoji2957]View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill[emoji119][emoji119] siment sijui yametumia ya dangote au faru [emoji23] Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Siku hizi kila kitu kiko wazi iweje uweke picha ya msikiti usiweke picha ya majini yakijenga msikiti huo?ila misukule wenzio watakuamini tuSubiri waamini waje kudungwa sindano za ufahamu wamwage hela
Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
Kwani wewe unapomsikia MCHUNGAJI anasema mungu kanitembelea Jana usiku nikazungumza nae ni uongo au ukweli?!Siwezi kuthibitisha.
Ndio maana nimeuliza kama ni kweli ama ni uongo yanayosemwa huyo shehe wa dini ya kiislamu.
Usihamishe mada.. kukimbia hoja kuu ya msikiti uliojengwa na majini
Sio utoto hayo ndio mafundisho ya wachungaji kila siku majini majini mala waisilamu ni majini mala wanaabudu majini mala wanafuga majini,ukichunguza mambo mengi wayafanyayo wachungaji kupitia viini macho utagundua kuwa wanatumia sana uchawi ndio maana ujifichia kwenye majiniKuna kipindi nilikuwa natamani nikutane na jini la kike nilitongoze
Dah utoto Raha aisee
Kwenye ndevu? No way. Kusema yapo kwenye Dini na tunasali nayo Msikitini ni sawa. Ni Maislamu ndo yalikuwa ya kwanza Kusilimu na kuipenda Dini. Ila la kusema tu yamekaa kwenye ndevu hapo alikosea. Majini ni Malaika wale walioasi wakatupwa chini au wakafukuzwa na Baba yao Shetani. Ndo Majini. So yana uwezo kama walivyo malaika. Ila SI MEMA. hata kama yatakusaidia. Si MEMA hayafai. Hayana ushirika na Mungu wa Ukweli.Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
Kwani wewe unapomsikia MCHUNGAJI anasema mungu kanitembelea Jana usiku nikazungumza nae ni uongo au ukweli?!
Mzee ukifuatilia Mambo ya kiimani utachoka KICHWA babu.
Dr Sule huwa namwelewa na kumkubali lakini kwa hili nimemdharau.View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grillππ siment sijui yametumia ya dangote au faru π Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Majini yako Over rated. ..mpaka sasa wamwshindwa kuzuia Mabomu huko Gaza.View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grillππ siment sijui yametumia ya dangote au faru π Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
ujinga ndo maana mnaahidiwa mabikra 70 na mito ya pombe peponi! Shetani hakika yuko kazini!View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grillππ siment sijui yametumia ya dangote au faru π Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Tatizo Wabongo kuamini Kila wanalo ambiwa.Majini yalijinunulia na kiwanja wakaanza na msingi wakaleta mchanga nondo na cement wakaanza kujenga wakapaua na Aluminium wakaweka[emoji23][emoji23][emoji23]
kuna wakati inabidi uwe chizi ili uelewe upuuzi fulani wa hizi dini za kuletewa
Mayumbu ndo niniWalicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini