Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu ndio umeshaanza nn maana mambo hayaendi paleNitayaleta hapo bandarini yachukue ajira zenu kenge weusi nyie.
Na badomkuu ndio umeshaanza nn maana mambo hayaendi pale
Kwahiyo wamejenga msikiti?Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Hicho alichokisema huyo sheikh unakiamini?Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
AiseeUlikuwa nalo tayari kichwani muda huo...
😂
On serious note; Nimewahi kukutana na jini kama mara tatu hivi na nyakati zote Mungu alinishiindia
Huyu si ndio anasifiwa SHEIKH MSOMI....Huyo sheikh ni mwendawazimu aliyechangamka, amekuwa akiudanganya ulimwengu kadri awezavyo
Yaani Mungu ni mkubwa sanaAisee
Una uhakika hukuvuta bangi hiyo siku?Yaani Mungu ni mkubwa sana
Sipati picha jini fundi linaomba tofauli Kwa jini kibarua..linaagiza mchanga na simenti na konobao ......ila waanzilishi wa hizi dini hasa hii hapa why waliruhusiwa kutuongopea
ndugu yangu huu ni upumbavu wanaotuletea ktk dini yetu hata mm nimefkr km mawazo yk,mwishowe nikamuona huu km kapungukiwa na akiliMimi ni muislamu lakini niseme tu kwamba kuna baadhi ya maneno ya hawa wanazuoni wetu yananipa wakati mgumu kidogo.
Anaposema mtu akienda kwenye nyumba hiyo akiomba kuondoshewa shida zake anazoziona zimekuwa nzito kwake basi lazima atapata jibu kwa haraka anamaainisha nini! Kwamba lazima shida yake itapata ufumbuzi au atapata jibu kwa haraka kama amekubaliwa au amekataliwa au imekaa vipi,maana kama anamaanisha lazima atakubaliwa na kupatiwa ufumbuzi wa tatizo lake basi nina uhakika hapo mahala kungekuwa kunafurika watu kila siku na wala wasingekuwa raia wa hapo Comoro tu bali kungefurika watu kutoka pande zote za dunia.
Halafu kwanini Mungu atoe majibu ya shida za waja wake mahali hapo tu na si kwingineko.
Wewe uliwaonea wapi making mpaka ukawagawq makurdi na sifa ipi inamfanya jini awe mwema au mbaya?Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Hahahaha sijawahi maoshani walah.Una uhakika hukuvuta bangi hiyo siku?