"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

DINI YA MAJINI, INATUMIA NGUVU NA RUSHWA KUPATA WAFUASI, UKISHAJIUNGA NI ZAIDI YA JELA, UKIJITOA ADHABU NI KIFO. UNATARAJIA MKUU WA HIYO DINI NI NANI? HUWA NAWASHANGAA SANA WANAOSEMA TUNAMWABUDU MUNGU MMOJA. WAKATI DINI MOJA MAJINI YOTE NI MASHETANI DINI NYINGINE WANA WAPETI PETI MAJINI, KUYAFUGA, KUISHI NAYO, KUSALI NAYO NA KUYATUMA
 
Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
 
Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Kwahiyo wamejenga msikiti?
 
Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini

Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?

mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi

Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo

Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
Hicho alichokisema huyo sheikh unakiamini?
 
Basi nilifikiri hiyo video inawaonyesha hao majini wakijenga, kumbe anaonekana msimulizi tu! Kalagha baho.
 
Mimi ni muislamu lakini niseme tu kwamba kuna baadhi ya maneno ya hawa wanazuoni wetu yananipa wakati mgumu kidogo.
Anaposema mtu akienda kwenye nyumba hiyo akiomba kuondoshewa shida zake anazoziona zimekuwa nzito kwake basi lazima atapata jibu kwa haraka anamaainisha nini! Kwamba lazima shida yake itapata ufumbuzi au atapata jibu kwa haraka kama amekubaliwa au amekataliwa au imekaa vipi,maana kama anamaanisha lazima atakubaliwa na kupatiwa ufumbuzi wa tatizo lake basi nina uhakika hapo mahala kungekuwa kunafurika watu kila siku na wala wasingekuwa raia wa hapo Comoro tu bali kungefurika watu kutoka pande zote za dunia.
Halafu kwanini Mungu atoe majibu ya shida za waja wake mahali hapo tu na si kwingineko.
ndugu yangu huu ni upumbavu wanaotuletea ktk dini yetu hata mm nimefkr km mawazo yk,mwishowe nikamuona huu km kapungukiwa na akili
 
Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Wewe uliwaonea wapi making mpaka ukawagawq makurdi na sifa ipi inamfanya jini awe mwema au mbaya?
Dining hii uongo ni mwingi saba ndo maana kazi yake kuu ni kuokoteza aya za dini nyingine! Wimara wa uislam unategemea sana dini zingine!
 
Majini Sports Club ndio walienda kuyachukua hapo comoro na kumtupia Mayele
Pale Jangwani kuna masheikh bingwa sana!
😁😁
 
Back
Top Bottom