Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waislam wanafuga majini, ndiyo maana wanasema kuna majini wazuri na wabaya. Majini yanakaa msikitini.Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
Sasa mkuu unataka kusema kati ya Waislam na Wakristo nani anafuga majini?Sio utoto hayo ndio mafundisho ya wachungaji kila siku majini majini mala waisilamu ni majini mala wanaabudu majini mala wanafuga majini,ukichunguza mambo mengi wayafanyayo wachungaji kupitia viini macho utagundua kuwa wanatumia sana uchawi ndio maana ujifichia kwenye majini
Mkuu siyo 70 ni mabikira 72, una wapunguzia idadi watakuja kuku mind.ujinga ndo maana mnaahidiwa mabikra 70 na mito ya pombe peponi! Shetani hakika yuko kazini!
Imani sio mchezo , hahaaJengo limejengwa na majini afu et ukiomba dua kwa Mungu unasikilizwa kwaiyo majini yanashirikiana na Mungu
Mimi ni muislamu lakini niseme tu kwamba kuna baadhi ya maneno ya hawa wanazuoni wetu yananipa wakati mgumu kidogo.
Anaposema mtu akienda kwenye nyumba hiyo akiomba kuondoshewa shida zake anazoziona zimekuwa nzito kwake basi lazima atapata jibu kwa haraka anamaainisha nini! Kwamba lazima shida yake itapata ufumbuzi au atapata jibu kwa haraka kama amekubaliwa au amekataliwa au imekaa vipi,maana kama anamaanisha lazima atakubaliwa na kupatiwa ufumbuzi wa tatizo lake basi nina uhakika hapo mahala kungekuwa kunafurika watu kila siku na wala wasingekuwa raia wa hapo Comoro tu bali kungefurika watu kutoka pande zote za dunia.
Halafu kwanini Mungu atoe majibu ya shida za waja wake mahali hapo tu na si kwingineko.
Wanajua sana kuchepusha mada, Kuna msikiti mmoja huko komoro wanadai umejengwa na majiniSasa mkuu unataka kusema kati ya Waislam na Wakristo nani anafuga majini?
Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini
Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?
mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi
Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo
Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
TehMkuu siyo 70 ni mabikira 72, una wapunguzia idadi watakuja kuku mind.
HahahahhaMkuu siyo 70 ni mabikira 72, una wapunguzia idadi watakuja kuku mind.
Hata KAMA imeandikwa zitakuja dini za uongo??
Uislamu Huna hitaji uwe
Nitayaleta hapo bandarini yachukue ajira zenu kenge weusi nyie.View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote au faru 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
[emoji3][emoji3][emoji3]Nitayaleta hapo bandarini yachukue ajira zenu kenge weusi nyie.