"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

Sio utoto hayo ndio mafundisho ya wachungaji kila siku majini majini mala waisilamu ni majini mala wanaabudu majini mala wanafuga majini,ukichunguza mambo mengi wayafanyayo wachungaji kupitia viini macho utagundua kuwa wanatumia sana uchawi ndio maana ujifichia kwenye majini
Aisee unaonekana kupaniki mana mada nyingine lakini una attack watu kwa hoja nyingine kunywa maji vuta pumzia kisha changia mada.
 
[emoji16]
1708707134379.jpg
 
Ni ni hivi, kwenye uislamu hatuna muda na mtu anajirikodi kwenye mtandao na kujifanya sijui ana majini ya kuleta hela au miujiza.
Tatizo linakuja ni pale atakapo kuaanza kufanya mihadhara ya kukusanya halaiki ya watu kama tapeli mwamposa halafu awachangishe hela, hapo ndio atatujua hatucheki na kima yeyeto anayeleta utapeli kwa kutumia uislamu.

Mnawakumbuka hawa walienda kwa mcungaji geordavie , walichutama wenyewe


View: https://www.youtube.com/watch?v=zqUgNMclEy4
 
Hakika tunahitaji elimu ya kuelewa mambo ya kiroho, bila kujali dini wengi wetu hatuna uelewa wa vitu vingi vya kiroho.
 
View attachment 2924255


Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe

Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Majini ni malaika wa shetani. Shida ya watu wanashindwa kuelewa, fuatilia mtu mwenye majini halafu uone mwisho wake utakuwaje.
 
View attachment 2924255


Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe

Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Hawa Waislam hadithi hizo za alinacha mbona zimejaa kwenye Quran yao!!
Uliisha pata kusikia hadithi Yajuj and Majuj?!!
Au ile hadithi at Masokwe yanafuata Sharia katika maisha yao?
Kwa hiyo sishangai wakija na hii hadithi
 
View attachment 2924255


Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe

Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Hakuna kitu kama hicho, Acheni ujinga. Wenzenu wachina wanakomaa kutengeneza microchips za simu na computers. nyie mnakomaa na kumuomba mungu na shetani asiyeonekana. Ebu zitafakari imani zenu, zinadumaza akili zenu.

Baada mtumie bongo zenu kutatua matatizo na changamoto zinazowakabili, mnakalia kumsingizia mungu na shetani.
 
View attachment 2924255


Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe

Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
View attachment 2924255


Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe

Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Kipi ni kipi

1. Nyumba hii imejengwa na viumbe visivyoonekana

2. Ni nyumba iliyojijenga yenyewe

That is a contradiction

" Dk Sulley
ni kama Silaha ya ukuni inayoweza kujichoma hata yenyewe."
 
Kwenye ndevu? No way. Kusema yapo kwenye Dini na tunasali nayo Msikitini ni sawa. Ni Maislamu ndo yalikuwa ya kwanza Kusilimu na kuipenda Dini. Ila la kusema tu yamekaa kwenye ndevu hapo alikosea. Majini ni Malaika wale walioasi wakatupwa chini au wakafukuzwa na Baba yao Shetani. Ndo Majini. So yana uwezo kama walivyo malaika. Ila SI MEMA. hata kama yatakusaidia. Si MEMA hayafai. Hayana ushirika na Mungu wa Ukweli.
Acha kudangaya watu wewe, majini na malaika ni viumbe viwili tofauti kabisa!
 
Majini yalijinunulia na kiwanja wakaanza na msingi wakaleta mchanga nondo na cement wakaanza kujenga wakapaua na Aluminium wakaweka😂😂😂

kuna wakati inabidi uwe chizi ili uelewe upuuzi fulani wa hizi dini za kuletewa
Nilikuwa nampenda sana Dr. Sulle.

Anakuambia ''Imeandikwa kuwa ukifika Al kaaba, swali rakaa mbili, ila mimi nilipolishika lile jiwe, mwanaume nikazikung'uka sita''

Rest in peace Al hajj Dr. Sulle.
 
View attachment 2924255


Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe

Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
duh, kwahiyo mungu wenu ana mahusiano na majini hadi yanamjengea msikiti, tuwafanye nini ili mstuke usingizini ndugu zetu?
 
Ulikuwa nalo tayari kichwani muda huo...
😂

On serious note; Nimewahi kukutana na jini kama mara tatu hivi na nyakati zote Mungu alinishiindia
Hata mimi nalitamani sana jini, nikiliona nalioa kabisa.
 
Back
Top Bottom