"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Mkuu na wewe ni wale mnaosubiri mabikra 72 mkifika mbinguni?
 
Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Mkuu na wewe ni wale mnaosubiri mabikra 72 mkifika mbinguni?
 
Tatizo ni uelewa tu hapa, wengi wetu tuna maana mbaya sana juu ya majini. Ila ukweli ni kuwa kisichoonekana haimaanishi hakipo, majini wapo wazuri na wabaya pia.
Wasioelewa mambo ya kiroho tunaweza tukauliza maswali sana juu ya hili.
Mkuu na wewe ni wale mnaosubiri mabikra 72 mkifika mbinguni?
 
Huyu si ndio anasifiwa SHEIKH MSOMI....
ni mjanjamjanja hivi, anaidanganya sana jamii yake ya kiislam kuwa ni msomi wa maandiko matukufu/matakatifu kumbe anafanya abrakadabra tu apate mkate wa maisha yake. Hana tofauti na wale wengine wadanganyao wenye shida kuwa wanaponya kwa kutumia miujiza ya maji na mafuta ya upako
 
Sio utoto hayo ndio mafundisho ya wachungaji kila siku majini majini mala waisilamu ni majini mala wanaabudu majini mala wanafuga majini,ukichunguza mambo mengi wayafanyayo wachungaji kupitia viini macho utagundua kuwa wanatumia sana uchawi ndio maana ujifichia kwenye majini
Unaamisha mada kwa nguvu zote shehe ndo amesema msikiti umejengwa na majini wewe unaleta habari za wachungaji
 
Mimi ni muislamu lakini niseme tu kwamba kuna baadhi ya maneno ya hawa wanazuoni wetu yananipa wakati mgumu kidogo.
Anaposema mtu akienda kwenye nyumba hiyo akiomba kuondoshewa shida zake anazoziona zimekuwa nzito kwake basi lazima atapata jibu kwa haraka anamaainisha nini! Kwamba lazima shida yake itapata ufumbuzi au atapata jibu kwa haraka kama amekubaliwa au amekataliwa au imekaa vipi,maana kama anamaanisha lazima atakubaliwa na kupatiwa ufumbuzi wa tatizo lake basi nina uhakika hapo mahala kungekuwa kunafurika watu kila siku na wala wasingekuwa raia wa hapo Comoro tu bali kungefurika watu kutoka pande zote za dunia.
Halafu kwanini Mungu atoe majibu ya shida za waja wake mahali hapo tu na si kwingineko.
Comoro kuna umaskini sana swali la kujiuliza kwanini watu wasiende kuomba ili shida zao ziondoke
 
DINI YA MAJINI, INATUMIA NGUVU NA RUSHWA KUPATA WAFUASI, UKISHAJIUNGA NI ZAIDI YA JELA, UKIJITOA ADHABU NI KIFO. UNATARAJIA MKUU WA HIYO DINI NI NANI? HUWA NAWASHANGAA SANA WANAOSEMA TUNAMWABUDU MUNGU MMOJA. WAKATI DINI MOJA MAJINI YOTE NI MASHETANI DINI NYINGINE WANA WAPETI PETI MAJINI, KUYAFUGA, KUISHI NAYO, KUSALI NAYO NA KUYATUMA
Hatuabudu Mungu mmoja bali tofauti
Wakristo wana-ushirika na Roho mtakatifu na malaika
Huku waislamu wakiwa na ushirika wa majini wazuri
 
Katika wote wachangiaji humu nimeona wamesema kuwa Majini ni Malaika walioasi..

Hiyo Tafsiri wanaipata wapi?
Je Majini na Mapepo ni sawa?
Spirit "Mapepo" na "Jinns" je ni sawa?

Kuhusu Malaika walioasi si biblia inasema wamefungwa Kuzimu mpaka siku ya Hukumu hao waliopo Duniani wametoka wapi?

Yuda 1:6
Screenshot_20240304_193003_Biblia Takatifu.jpg


Nafikiri Somo la Majini kwa wakristo pamoja na baadhi ya waislamu Bado ni Gumu sana kwao
 
Hapo ndipo waafrika huwa tunaonekana na IQ ndogo. Ndio maana wanataka kutuangamiza tupotee kwenye uso wa dunia
 
Huwa tunawashauri ndugu zetu waislamu wasome elimu dunia ndio wawe masheikh,ona Sasa wanavyokutana navyo,ni mambo ya ajabu kabisa ambayo hata wa la kwanza anajua ni uongo
 
Walicho waweza wachungaji kuwa shika akili za majumbu zao ni kuwaaminisha kuwa waisilamu wanafuga majini pia wanaabu majini pia na mayumbu waamini

Hali yakuwa majini ni viumbe visivyo onekana kwa macho swali hao wachungaji walijuaje kuwa waisilamu wanafuga maji?

mfano kuna kanisa liko jirani yangu mchungaji alikuwa iliwambia misukule wake siku ya j 2 kuwa masheikh wote wenye ndevu wana majini kwenye ndevu zao heti kayaona huku misukule ikipiga makofi

Baada ya misa tukamuita mchungaji mbele ya waumini wake pale barabalani hili atuthibitishie majini wanavyo fanana ikibidi atuonyesha hata picha akasema mimi sijasema maneno hayo

Tukagundua kuwa misukule wameshikwa akili zao pia wachungaji bila kutumia uchawi awawezi kufanya lolote mwalimu wa uchawi ni jini
Kwenye Quran kuna Sura ya majini. Saudia kuna msikiti wa majini

Al Jinn
72:8 Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo

72:9 Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
 
Huwa tunawashauri ndugu zetu waislamu wasome elimu dunia ndio wawe masheikh,ona Sasa wanavyokutana navyo,ni mambo ya ajabu kabisa ambayo hata wa la kwanza anajua ni uongo
Hata mimi nilikuwa nafikiria kama wewe elimu dunia.
Elimu dunia ni elimu ya kusomea mambo yasiyoonekana kama majini, kuzimu, uganga n.k
 
Back
Top Bottom