Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee unaonekana kupaniki mana mada nyingine lakini una attack watu kwa hoja nyingine kunywa maji vuta pumzia kisha changia mada.Sio utoto hayo ndio mafundisho ya wachungaji kila siku majini majini mala waisilamu ni majini mala wanaabudu majini mala wanafuga majini,ukichunguza mambo mengi wayafanyayo wachungaji kupitia viini macho utagundua kuwa wanatumia sana uchawi ndio maana ujifichia kwenye majini
Bora umemwambia, hao wawili alitaka kuwapeleka wapi? Mnataka kutufanyia ufisadi mpaka kwenye rehma za mnyazi? [emoji16]Mkuu siyo 70 ni mabikira 72, una wapunguzia idadi watakuja kuku mind.
Majini ni malaika wa shetani. Shida ya watu wanashindwa kuelewa, fuatilia mtu mwenye majini halafu uone mwisho wake utakuwaje.View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Hawa Waislam hadithi hizo za alinacha mbona zimejaa kwenye Quran yao!!View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Hakuna kitu kama hicho, Acheni ujinga. Wenzenu wachina wanakomaa kutengeneza microchips za simu na computers. nyie mnakomaa na kumuomba mungu na shetani asiyeonekana. Ebu zitafakari imani zenu, zinadumaza akili zenu.View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Tena eti wakasalimiana, anawaita NGUGU ZETU wa Kiislamu...😨🙄Sheikh Kipozeo nishawahi sikiza moja ya mawaidha yake akielezea uwepo wa msikiti wa majinn Saudia...
Mwingine huyooo...Hao majini wameshindwa vipi kuwasaidia wafuasi wao huko palestina ? Waende Gaza wakazichape na Israeli mtoa roho
Bora umemwambia, hao wawili alitaka kuwapeleka wapi? Mnataka kutufanyia ufisadi mpaka kwenye rehma za mnyazi? [emoji16]
View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Kipi ni kipiView attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Acha kudangaya watu wewe, majini na malaika ni viumbe viwili tofauti kabisa!Kwenye ndevu? No way. Kusema yapo kwenye Dini na tunasali nayo Msikitini ni sawa. Ni Maislamu ndo yalikuwa ya kwanza Kusilimu na kuipenda Dini. Ila la kusema tu yamekaa kwenye ndevu hapo alikosea. Majini ni Malaika wale walioasi wakatupwa chini au wakafukuzwa na Baba yao Shetani. Ndo Majini. So yana uwezo kama walivyo malaika. Ila SI MEMA. hata kama yatakusaidia. Si MEMA hayafai. Hayana ushirika na Mungu wa Ukweli.
Nakubaliana nawe....Acha kudangaya watu wewe, majini na malaika ni viumbe viwili tofauti kabisa!
Nilikuwa nampenda sana Dr. Sulle.Majini yalijinunulia na kiwanja wakaanza na msingi wakaleta mchanga nondo na cement wakaanza kujenga wakapaua na Aluminium wakaweka😂😂😂
kuna wakati inabidi uwe chizi ili uelewe upuuzi fulani wa hizi dini za kuletewa
duh, kwahiyo mungu wenu ana mahusiano na majini hadi yanamjengea msikiti, tuwafanye nini ili mstuke usingizini ndugu zetu?View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Hata mimi nalitamani sana jini, nikiliona nalioa kabisa.Ulikuwa nalo tayari kichwani muda huo...
😂
On serious note; Nimewahi kukutana na jini kama mara tatu hivi na nyakati zote Mungu alinishiindia