C mpuuzi tu mkuu ,Bali tairi au kichaa kbs[emoji23][emoji23][emoji23]Majini yalijinunulia na kiwanja wakaanza na msingi wakaleta mchanga nondo na cement wakaanza kujenga wakapaua na Aluminium wakaweka[emoji23][emoji23][emoji23]
kuna wakati inabidi uwe chizi ili uelewe upuuzi fulani wa hizi dini za kuletewa
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.......View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Hayo mavitu yanaokoteza any form ya mwili ili kutimiza malengo yao.Hata mimi nalitamani sana jini, nikiliona nalioa kabisa.
Mbona nasikia mengine yamesilimu na yanafuata maagizo ya mola?Hayo mavitu yanaokoteza any form ya mwili ili kutimiza malengo yao.
Kikubwa ambacho unapaswa kuambiwa kabla ya kudate nao ni kwamba, hata uyaridhishe na kuyafurahisha namna gani; lazima yakupe zawadi ya kukuua ili usije ukapata nafasi ya kumrejea Muumba wako kwa toba.
Stori imekaa kimchongo hii..View attachment 2924255
Majini yamejenga msikiti yameweka Hadi grill🙌🙌 siment sijui yametumia ya dangote , au ya pakistani 😂 Mungu atusamehe
Majini wamejenga jengo mpaka vioo vya aluminium wameweka
Stori imekaa kimchongo hii
C mpuuzi tu mkuu ,Bali tairi au kichaa kbs[emoji23][emoji23][emoji23]
Atawaokota mambugila huyu
Ova
Nchi ina ujinga sanaKashawaokota wengi. Watu baada ya kusililiza hiyo story wanasema Allah akbar