edon66
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 2,907
- 9,135
C mpuuzi tu mkuu ,Bali tairi au kichaa kbs[emoji23][emoji23][emoji23]Majini yalijinunulia na kiwanja wakaanza na msingi wakaleta mchanga nondo na cement wakaanza kujenga wakapaua na Aluminium wakaweka[emoji23][emoji23][emoji23]
kuna wakati inabidi uwe chizi ili uelewe upuuzi fulani wa hizi dini za kuletewa