"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

"Viumbe wasioonekana" wajenga Msikiti wa kisasa nchini Comoro. Maneno haya ya Sheikh Al hajj Dr sulle ni ya kweli?

Majini yalijinunulia na kiwanja wakaanza na msingi wakaleta mchanga nondo na cement wakaanza kujenga wakapaua na Aluminium wakaweka[emoji23][emoji23][emoji23]

kuna wakati inabidi uwe chizi ili uelewe upuuzi fulani wa hizi dini za kuletewa
C mpuuzi tu mkuu ,Bali tairi au kichaa kbs[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mimi nalitamani sana jini, nikiliona nalioa kabisa.
Hayo mavitu yanaokoteza any form ya mwili ili kutimiza malengo yao.

Kikubwa ambacho unapaswa kuambiwa kabla ya kudate nao ni kwamba, hata uyaridhishe na kuyafurahisha namna gani; lazima yakupe zawadi ya kukuua ili usije ukapata nafasi ya kumrejea Muumba wako kwa toba.
 
Hayo mavitu yanaokoteza any form ya mwili ili kutimiza malengo yao.

Kikubwa ambacho unapaswa kuambiwa kabla ya kudate nao ni kwamba, hata uyaridhishe na kuyafurahisha namna gani; lazima yakupe zawadi ya kukuua ili usije ukapata nafasi ya kumrejea Muumba wako kwa toba.
Mbona nasikia mengine yamesilimu na yanafuata maagizo ya mola?

Hata akiniua poa tu, nitakuwa nimekula mzigo.
 
Back
Top Bottom